• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

MKUU WA MKOA WA PWANI AICHANGIA KILUVYA UNITED MILLION MOJA

Posted on: December 7th, 2017

Timu ya Kiluvya United ya Mkoa wa Pwani imefanikiwa kupata klabu rafiki ya TAMPERE ya nchini Finland, itakayofanya nayo mashirikiano katika kukuza vipaji, mbinu za uchezaji na benchi la ufundi ili kuinua soka Mkoani Pwani.

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Mhandisi Evarist Ndikilo ndiye amefanikisha kuanza kwa ushirikiano huo, kati ya klabu ya Tempere iliyopo ligi kuu nchini Finland na Kiluvya United.

Aidha Mkuu wa Mkoa ametoa kiasi cha shilingi milioni moja kwa timu hiyo inayoshiriki ligi daraja la kwanza ili kuhakikisha inaingia ligi kuu.

Mhandisi Ndikilo alitoa mchango huo alipoitembelea timu hiyo kwenye kambi yake iliyopo kwenye shule ya Filbert Bayi iliyopo Wilayani Kibaha.

Alisema kuwa ili kufanikisha timu hiyo kupanda ligi kuu, wadau wa soka wa Mkoani Pwani  wanapaswa kuichangia kwa hali na mali ili ifikie lengo hilo.

“Kiluvya United ni timu yetu ya Mkoa na endapo itapanda ligi kuu itauletea sifa Mkoa wetu na pia vijana wetu wataweza kuonekana na kufikia hatua ya kuichezea timu ya Taifa,” alisema Mhe Ndikilo.

Aidha alisema kuwa ili kuunga mkono masuala ya michezo ambayo ni ajira wadau hawana budi kuwaunga mkono ili kuwapa hamasa waweze kufanya vizuri.

Mhe. Ndikilo aliwataka wachezaji hao wacheze kufa na kupona ili kupanda kwenye ligi kuu.

Nae Katibu wa timu hiyo Bw. Sadiki Chonjo alimshukuru Mkuu wa Mkoa kwa kuwaunga mkono na kuwapatia fedha hizo kwani zitasaidia kupunguza makali ya changamoto ya fedha.

Alisema timu yao inakabiliwa na changamoto kubwa ya fedha ambapo inahitaji zaidi ya milioni 10 kwa ajili ya kuiandaa timu yao.

Chonjo alisema kuwa wakifanikiwa kupata fedha hizo zitawasaidia kufanikisha harakati zao za kwenda ligi kuu.

Alieleza kuwa, timu hiyo ya Kiluvya United ipo daraja la kwanza ngazi ya Taifa na kwamba sasa katika kundi lake lenye timu nane, inashika nafasi ya tatu ikitanguliwa na Ruvu JKT na African Lion.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77