• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Program ya Shule Bora yatoa mafunzo ya Uboreshaji wa Ufundishaji wa somo la Kingereza na Hisabati Pwani

Posted on: March 7th, 2025

Katika jitihada za kuinua ufaulu wa masomo ya Kiingereza na Hisabati, Programu ya Shule Bora imeandaa mafunzo maalum ya siku mbili kwa walimu, yakiangazia mbinu bora za ufundishaji na kubadilishana uzoefu.

Mafunzo hayo ni ya siku mbili na yalianza tarehe 6 Machi 2025, katika Ukumbi wa Stella Maris, Bagamoyo, yakihusisha washiriki 156, wakiwemo walimu wa Kiingereza (36), walimu wa Hisabati (36), walimu wakuu (36), maafisa elimu kata (9), wathibiti ubora wa shule (18), waratibu wa Shule Bora kutoka halmashauri (9), pamoja na maafisa elimu taaluma wa mkoa wa Pwani.

Katika mafunzo hayo, washiriki walijadili na kushirikiana katika, kuboresha mbinu za ufundishaji ili kuwasaidia wanafunzi kuelewa masomo kwa urahisi zaidi, kubadilishana uzoefu wa ufundishaji na ujifunzaji wa Kiingereza na Hisabati, kuandaa mpango kazi wa kuinua ufaulu wa masomo hayo katika mkoa wa Pwani.

Kwa mujibu wa Mratibu wa Mradi wa Shule Bora Mkoa wa Pwani, N’gwigulu Kube, amesema mafunzo haya yanalenga kuwawezesha walimu kubadilishana uzoefu na kuboresha mbinu zao za ufundishaji ili kuinua ufaulu wa wanafunzi.

“Mafunzo haya ni fursa kwa walimu si tu kujifunza mbinu mpya, bali pia kushirikiana na wenzao kubadilishana uzoefu wa ufundishaji. Ingawa wengi wamekuwa kwenye taaluma kwa muda mrefu, kujengeana uwezo mara kwa mara ni muhimu ili kuboresha matokeo ya wanafunzi” alisema Ng’wigulu.

Akifungua mafunzo hayo Afisa Elimu wa Mkoa wa Pwani, Jimmy Nkwamu, ameishukuru  Programu ya Shule Bora kwa mchango wake  wa kuandaa mafunzo hay ohayo ambayo yamekuwa yakiimairisha elimu mkoani Pwani.

“Ni matumaini yangu kuwa mafunzo haya yatawasaidia walimu kuongeza bidii na juhudi katika kazi zao, na nawasihi muwe mfano bora kwa wenzao na kuhakikisha mnatekeleza yale mliyojifunza” alisema Nkwamu.

Aidha, aliwakumbusha walimu wote mkoani Pwani kuzingatia taratibu na kanuni za Utumishi wa Umma katika utendaji wao wa kila siku.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.