• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Mtambo kupoza umeme cha Chalinze kuanza kazi Desemba 2023

Posted on: October 13th, 2023

Serikali imesema ifikapo mwishoni mwa Mwezi Novemba Mwaka huu Ujenzi wa Mtambo wa kupoza Umeme katika Ktuo cha Chalinze utakuwa umekamilika na hivyo kuondoa kabisa chamgamoto ya Umeme nchini.

Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati na Madini Dkt. Dotto Biteko alipofamya ziara ya kutembelea na kukagua maendeleo ya Ujenzi wa Kituo cha kupoza Umeme Chalinze mkoani Pwani.

Amesema hadi sasa ujenzi wa Mtambo huo umefikia asilimia 84,3 na utakapokamilika ifikapo Desemba mwaka huu mtambo huo utaanza kupokea Umeme rasmi kutoka kwenye Bwawa la kufua Umeme la Julius Nyerere na kuingizwa katika Gridi ya Taifa kwani Ujenzi wa njia ya kusafirishia umeme kutoka kituo hicho hadi Bwawa la Mwl Nyerere ujenzi wake umefikia asilimia 99.

Dkt. Biteko ameaema, mtambo huo utakapoanza kupokea nishati hiyo, utasaidia nchi kupata Umeme wa kutosha kwa matumizi ya Viwanda na ya shughuli zingine za kijamii na akafafanua kuwa Mikoa ya Pwani na Dar es Salaam pekee inatumia nusu ya Mega Walt za Grid ya Taifa kwa matumizi hayo.

Amesema Serikali itahakikisha inatatua changamoto ya umeme nchini hatua kwa hatua ili kupunguza tatizo lililopo kwenye maeneo ambayo hayajapata nishati hiyo.

Mkurugenzi wa miradi wa Shirika la Umeme nchini - TANESCO Mhandisi Declan Mhaiki amesema, wanatarajia kuzalisha Umeme wa Mega Walt 2115 kutoka Bwawa la Julius Nyerere ambao utaunganishwa kwenye Kituo cha kupoza Umeme Chalinze na Grid ya Taifa.

Naibu Waziri Mkuu huyo amepongeza hatua ya Ujenzi ulipofikia na kupongeza vijana walioajiriwa katika Ujenzi wa kituo hicho akisema kuwa Serikali inathamini mchango wao katika ujenzi huo.

Kwa upande wake Meneja Msimamizi wa Kituo cha Kupoza Umeme Chalinze Newton Livingstone ameeleza kuwa baada ya Umeme kupozwa, utasafirishwa kwenda kwenye Grid za Taifa za Kinyerezi, Ubungo - Dar es Salaam na Morogoro.

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge amesema kukamilika kwa Mradi huo hautakuwa na manufaa kwa.

Watanzania pekee bali hata nchi Jirani nao watanufaika na mradi huo ambao ameahidi utalindwa na kuwa katika mikono salama na kuwa uongozi wa Mkoa umekuwa karibu na kituo hicho kuangalia maendeleo ya mradi huo.

"Huu ni mradi mkubwa kwa ajili ya kupoozea umeme, hivyo Halmashauri pangeni eneo linalozunguka mradi huu ili liwe na tija zaidi," amesema Kunenge.

Kunenge alieleza vijana walioajiriwa wamepata ujuzi na ujira.

"Umeme utapoozwa kutoka Kv 220 Kuja 132 na kuunganisha kwenye gridi ya Taifa."alibainisha Kunenge.

Hivi karibuni, Rais samia alitoa miezi sita kuhakikisha changamoto ya umeme nchini ambayo kwa sasa inatajwa kusababishwa na upungufu wa maji katika vyanzo vya zamani vya kuzalisha umeme hapa nchini inamalizika.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.