• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Mwenge wa uhuru Kupitia Miradi yenye thamani ya Milioni 757,9 RUFIJI

Posted on: May 5th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Rufiji, Meja Edward Gowelle amepokea Mwenge wa Uhuru ukitokea wilayani Mkuranga, ambapo umepokea taarifa za miradi nane yenye thamani ya sh.milioni 757.9.

Kati ya miradi iliyokaguliwa ni pamoja na ghala lililopo katika kijiji cha Ikwiriri Kaskazini, bweni la wasichana shule ya Sekondari Ikwiriri, mradi wa mazingira katika shule ya msingi Shaurimoy , shule ya msingi Mgomba kijiji cha Mgomba yenye watoto wenye uhitaji maalum na kutembelea kikundi cha ushonaji Umwe Kati.

Hata hivyo, Mwenge wa Uhuru umeshindwa kutembelea na kukagua miradi miwili kati ya nane iliyokusudiwa ambayo ipo kata ya Utete kutokana na changamoto ya mvua kubwa zinazoendelea kunyesha na kusababisha uharibifu wa miundombinu ya barabara.

Miradi hiyo ni pamoja mradi wa barabara yenye kiwango cha lami yenye thamani ya sh.550M pamoja na kuweka jiwe la msingi katika mradi wa maji kijiji cha Nyandakatundu, Utete wenye thamani ya sh. 7.9M.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Godfrey Mzava, akipokea taarifa ya miradi hiyo, Mei 5,2024 katika eneo ambalo msafara umekomea, ametoa agizo la kuwasilishwa kwa nyaraka na picha mjongefu (video), Leo ili aweze kuzikagua

Awali akisoma taarifa ya mradi wa barabara Hamisi Muhidini Chikaula amesema,ujenzi ulianza kutekelezwa 11,agost 2022 na umekamilika April 10,2023 .

Anaeleza, mradi huo umegharimu kiasi cha sh.milioni 504.9 ikiwa ni fedha kutoka Serikali Kuu kupitia Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini( TARURA) wilayani Rufiji na utekelezaji wake umekamilika kwa asilimia 100.

"Lengo la mradi huo ni kuboresha miundombinu ya barabara ili kurahisisha masuala ya usafirishaji" anasema Chikaula.

Akielezea kuhusu mradi wa maji Kijiji cha Nyandakatundu ameeleza, ulianza kutekelezwa April 1,2023 na unatarajia kukamilika juni 1,2024 ambapo umegharimu kiasi cha sh. mil 7.9.

Chikaula amefafanua, hadi sasa utekelezaji wa mradi umefikia asilimia 95 na utakapokamilika utahudumia wananchi 1,119 wa Kitongoji cha Nyandakatundu.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.