• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Mwenyekiti wa Bodi RUWASA Aanza Ziara ya Siku Mbili Mkoani Pwani.

Posted on: August 7th, 2025

Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Peter Billa, leo amepokea ugeni kutoka Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA), ulioongozwa na Mwenyekiti wa Bodi ya RUWASA Taifa, Mhandisi Ruth S. Koya, kwa ziara ya siku mbili yenye lengo la kukagua utekelezaji wa miradi ya maji na utendaji wa vyombo vya kijamii vya huduma ya maji vijijini (CBWSOs).

Katika kikao kifupi kilichofanyika ofisini kwa Katibu Tawala, Meneja wa RUWASA Mkoa wa Pwani, Mhandisi Beatrice Kasimbazi, alieleza kuwa ziara hiyo itafanyika katika Halmashauri za Wilaya ya Kibaha na Bagamoyo, na itaambatana na ukaguzi wa miradi ya maji pamoja na kikao cha tathmini kuhusu changamoto na mafanikio ya utekelezaji wa huduma hizo.

Kwa upande wake, Mhandisi Koya alisema ziara hiyo inalenga pia kupata tathmini ya moja kwa moja kutoka kwa wananchi kupitia vyombo vya usimamizi wa huduma za maji, pamoja na kufanya ufuatiliaji wa utendaji wa RUWASA katika ngazi ya mkoa.

“Kutembelea miradi pamoja na kukutana na vyombo vya usimamizi wa huduma za maji kutatuwezesha kupata taarifa ya moja kwa moja kutoka kwa wananchi kuhusu hali ya huduma hizi,” alisema Mhandisi Koya.

Akitoa neno la shukrani, Kaimu Katibu Tawala. Peter Billa aliwapongeza viongozi hao kwa juhudi wanazofanya katika kusimamia huduma ya maji vijijini na kusisitiza kuwa ziara za namna hiyo ni muhimu kwani zinatoa picha halisi ya changamoto na mafanikio ya utekelezaji wa miradi ya maji.na kuahidi ushirikiano wa karibu na RUWASA.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Mwenyekiti wa Bodi RUWASA Aanza Ziara ya Siku Mbili Mkoani Pwani.

    August 07, 2025
  • Wakulima wa Mijini Waaswa Kuchangamkia Teknolojia ya Kisasa ili Kuongeza Tija.

    August 07, 2025
  • Mafia Yapongezwa kwa Utoaji wa Mikopo Nafuu, Wananchi Watakiwa Kuchangamkia Fursa.

    August 04, 2025
  • Maonesho ya Nanenane 2025 ni ya Kipekee, Yamepiga Hatua Kubwa: Pinda.

    August 02, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.