• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Ni marufuku kumzuia Mtoto kufanya mtihani -Samataba

Posted on: July 10th, 2018

 Wazazi Mkoani Pwani  wameonywa na kuacha mara moja tabia ya kuwakataza   watoto  kwenda shule na  kuwashawishi watoto hao kufanya vibaya kwenye mitihani yao ya kumaliza darasa la saba na kidato cha nne kushiriki katika shughuli za kijamii kama njia mojawapo ya kuwapatia wazai kipato.

Rai hiyo imetolewa na katibu Tawala mkoa Pwani,ndugu Zuberi Samataba wakati wa kilele cha maadhimisho wiki ya Elimu Mkoani Pwani .

Aidha alieleza kuwa wapo wazazi na walezi ambao wamekuwa chanzo cha kudidimiza Elimu ,kwa  kuwaachia watoto kudhurura na kujihusisha na  vigidoro na ngoma za usiku .“Serikali haiwezi kukubali mzazi akaachia mtoto kiholela ,watoto ni wa serikali ,mzazi yeyote  atakayebainika kufanya hayo hatutamvumilia , kwani hii inasababisha kudumaza elimu katika  mkoa wetu”Alisema Samataba.

Pia  alizielekeza Halmashauri zote za Mkoa wa Pwani  kuwachukulia hatua wazazi wote wanaowaachia watoto kushiriki katika shughuli za kijamii zisizo rasmi  na hatarishi kwa maisha na ustawi wa   watoto.Alikemea vitendo vya kupewa  mimba za utotoni na maambukizi ya maradhi kwa watoto na amesisitiza kuchukuliwa hatua kali kwa wote wanaosababisha  hayo .

 Alisema kuwa, zipo taarifa  kuwa wapo wazazi wanaojua watoto wao wanafanya vizuri darasani badala ya kuwasaidia wao huwakataza kufanya vizuri .

Naye kaimu Afisa elimu Mkoa wa Pwani ,bibi Hildegard  Valerian Makundi alieleza kuwa uandikishaji  wa wanafunzi wa elimu ya awali bado upo chini tofauti na wanaoandikishwa darasa la kwanza.

“ Lengo Serikali  lilikuwa ni kuandikisha wanafunzi 35,418 kwa ajili ya Elimu ya awali ila  walioandikishwa ni 26,997 sawa na asilimia 76 na uandikishaji darasa la kwanza lengo ilikuwa 47,686 walioandikishwa ni 52,551 sawa na asilimia 110” alieleza Hedegald.

Katika hatua nyingine Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Pwani ,Ramadhani Maneno alisema kuwa, ili kuhakikisha elimu inaboreshwa ni lazima kushirikiana wadau ,wazazi na walimu kutatua changamoto za kielimu badala ya kuiachia serikali pekee.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.