• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Pwani kujitanua Kibiashara kupitia Maonesho ya Biashara na Uwekezaji 2024

Posted on: December 3rd, 2024

Mkoa wa Pwani unajipanga kuimarisha nafasi yake kama kitovu cha biashara na uwekezaji nchini kupitia maonesho makubwa ya biashara na uwekezaji yatakayofanyika Disemba 16 hadi 20, 2024, katika viwanja vya Mailimoja, Kibaha Mjini.

Akizungumza na waandishi wa habari Disemba 2, 2024, Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Alhaj Abubakar Kunenge, alisisitiza umuhimu wa maonesho hayo katika kukuza uchumi wa mkoa na kufungua milango ya fursa kwa wafanyabiashara, wawekezaji, na wajasiriamali. Kunenge alieleza kuwa maonesho haya ni mwendelezo wa jitihada zilizofanikiwa katika awamu za miaka ya 2018, 2019, na 2022.

Kunenge alibainisha kuwa lengo kuu la maonesho haya ni kutangaza fursa za uwekezaji, kufungua masoko mapya, na kutoa jukwaa la kuonyesha bidhaa zinazozalishwa mkoani Pwani. Maonesho hayo yanatarajiwa kushirikisha washiriki 550, wakiwemo wafanyabiashara wakubwa, wa kati, na taasisi za umma na binafsi.

“Maonesho haya ni nafasi adimu kwa kila mshiriki kujifunza, kushirikiana, na kupata fursa mpya za uwekezaji. Wananchi wanakaribishwa kwa wingi kutembelea maonesho haya na kujionea ubunifu wa bidhaa na huduma zinazotolewa mkoani Pwani,” alisema Kunenge.

Katika hatua nyingine kunenge akieleza kuwa maonesho haya yataambatanan na kongamano la uwekezaji ilitakalofanyika Disemba 18 ambalo litafanyika katika Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Nyerere, Kibaha kwa Mfipa. Kongamano hilo litahudhuriwa na washiriki 400, wakiwemo wawakilishi wa taasisi za serikali na sekta binafsi, na litatoa nafasi ya mijadala juu ya maendeleo ya biashara na uwekezaji.

Kunenge alitaja pia mafanikio makubwa ya Mkoa wa Pwani chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, akibainisha kuwa mkoa huo umeongeza viwanda 78 vikubwa tangu 2021, na kufikia jumla ya viwanda 1,553. “Tunaendelea kunufaika na mazingira bora ya uwekezaji yaliyoimarishwa na serikali. Maonesho haya ni sehemu ya juhudi zetu za kutekeleza dira ya maendeleo ya viwanda nchini,” aliongeza Kunenge.

Pia ametoa wito kwa wadau wa sekta mbalimbali kushiriki katika maonesho haya ili kujifunza, kupata ushauri wa kitaalamu, na kuonyesha bidhaa zao. “Hii ni fursa ya kipekee kwa wafanyabiashara na wawekezaji kukuza mitandao ya kibiashara, kuboresha maarifa, na kuchangia maendeleo ya mkoa na taifa kwa ujumla,” alisema.

Maonesho haya yanatarajiwa kuwa kielelezo cha mabadiliko chanya kwa uchumi wa Mkoa wa Pwani, huku yakiimarisha ushirikiano wa sekta ya umma na binafsi katika kukuza uwekezaji na biashara.


Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.