• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Pwani kuzindua kampeni ya Msaada wa kisheria

Posted on: February 22nd, 2025

Kampeni ya Samia Legal Aid, inayolenga kutoa msaada wa kisheria kwa wananchi, inazinduliwa rasmi mkoani Pwani tarehe 24 Februari 2025 katika Viwanja vya Stendi ya Zamani, Mailimoja, Kibaha.

Kampeni hii, inayodhaminiwa na Wizara ya Katiba na Sheria, ni mwendelezo wa jitihada za serikali kuhakikisha wananchi wanapata haki zao bila kikwazo cha gharama.

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakari Kunenge, amesema kampeni hii ni hatua muhimu kwa wananchi, hasa wale wenye changamoto za kisheria katika masuala ya ndoa, mirathi, ardhi, na mengineyo.

“Kampeni hii siyo tu kwamba inaleta msaada wa kisheria, bali pia inahamasisha wananchi kuelewa haki zao. Ni fursa kwa wote wenye malalamiko kufika na kusikilizwa,” alisema Kunenge.

Kwa mujibu wa Kunenge, kampeni hiyo itaendelea kwa siku tisa, kuanzia tarehe 25 Februari hadi 5 Machi 2025, ikiwapa wananchi muda wa kuwasilisha matatizo yao na kupata suluhisho la kisheria.

Tayari, kampeni hii imeshatekelezwa katika mikoa 19 ya Tanzania, na Pwani inakuwa mkoa wa 20 kunufaika na huduma hii muhimu. Wananchi wa mkoa huo wametakiwa kujitokeza kwa wingi ili kutumia fursa hii ya kipekee ya msaada wa kisheria bila gharama yoyote.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Kunenge Ashiriki Kupiga Kura , Awataka Wananchi wa Pwani kuendelea kujitokeza kwa wingi

    October 29, 2025
  • Dumisheni Umoja na Utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu- Kamati ya Amani Pwani

    October 28, 2025
  • Vituo 3,941 vya kupiga kura vyaandaliwa Mkoani Pwani Kuelekea Uchaguzi mkuu

    October 27, 2025
  • RC Kunenge akabidhi Vitendea kazi vya Zaid ya Sh. Bilion 7 kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Pwani

    October 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • DORA77
  • KOI200
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200