• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Pwani yafanikiwa Upatikanaji umeme ,Maji.

Posted on: October 11th, 2023

Vijiji 404 kati ya 417 Mkoani Pwani vimepata Umeme huku hali ya upatikanaji Maji ni ukiwa asilimia 86 mijini na 77 Vijijini.

Hayo yamebainishwa leo Oktoba 11, 2023 na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Abubakar Kunenge kwenye Mkutano Mkuu maalum wa kupokea Taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi - CCM ya 2020-2025 kwa Jimbo la Chalinze, Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani.

Ameeleza kuwa kwa upande wa umeme kwa sasa vimebaki vijiji 13 tu ambavyo ni Visiwa na Delta na kuhusu maji vimebaki vijiji 29 ambavyo taratibu zao zinaendelea vizuri.

Naye Mhe. Dotto Biteko Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati amepongeza ameipongeza Halmshuri ya Wilaya ya Chalinze kwa Usimamizi wa fedha za Miradi na akawataka viongozi wote wa Halmashauri hiyo kushirikiana na kusema mazuri yaliyofanyika.

Naye Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dotto Biteko ameipongeza Halmshuri ya Wilaya ya Chalinze kwa Usimamizi wa fedha za Miradi na akawataka viongozi wote wa Halmashauri hiyo kushirikiana na kusema mazuri yaliyofanyika.

"Onesheni mliofanya kwa vitendo, msirudi nyuma bali sukumeni maendeleo ya wana-Chalinze mbele," amesema.

Katika hatua nyingine, Mhe. Biteko ameahidi kutoa Kompyuta 10 kwa shule ya Sekondari Moreto kwa ajili ya wanafunzi kujifunzia na akalielekeza shirika la umeme nchini - TANESCO kupeleka umeme katika shule hiyo.

Mhe Biteko pia amewataka watumishi wa Umma kutoka maofisini na kwenda kuwahudumia wananchi katika maeneno yao.

Amesisitiza jamii kuwa na upendo na kuheshimiana.

Mkutano huo pia umehudhuriwa na Rais Mstaafu wa awamu ya nne Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.