• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Pwani yapania kutokomeza Malaria.

Posted on: April 12th, 2018

 

Vifo vinavyotokana na ugonjwa wa malaria katika Mkoani Pwani, vimepungua kutoka 124 kwa mwaka 2016 na kufikia vifo 57 sawa na asilimia 9.6 mwaka 2017.
Pamoja na hilo ,kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka 2015 -2017 wagonjwa wa malaria walioripotiwa katika zahanati ,vituo vya afya na hospitali Mkoani humo ,walikuwa 720,181.
Hayo yalibainika  katika kikao cha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Mhandisi Evarist Ndikilo , na waandishi wa habari na kuelezea  kuwa  Mkoa umeandaaa kampeni ya uhamasishaji wa kununua na kutumia dawa ya kuulia viluwiluwi vya mbu waenezao ugonjwa wa Malaria, ambazo  zinazalishwa katika kiwanda cha Tanzania Biotech Product Ltd kilichopo Kibaha.
Mhe. Ndikilo alieleza  kuwa ,kutokana na takwimu hizo ugonjwa huo bado ni hatari hivyo Mkoa umejipanga  kuhamasisha na kuongeza matumizi ya dawa ya viuadudu ili kudhibiti mbu waenezao malaria.
“Kwa kuzingatia kwamba kiwanda cha dawa hizi kipo hapa kwetu na kuwa maambukizi ya malaria kimkoa bado yapo juu takriban asilimia 15 zaidi ya maambukizi ya kitaifa ambayo ni asilimia 14, tumedhamiria kuongeza matumizi ya dawa hiyo”
“Kwa uzoefu kwa wenzetu nchini Cuba ambao walianza kutumia viuadudu vya kuua mbu wa malaria kabla yetu wamefanikiwa kutokomeza kabisa ugonjwa huo ” alisema Mhandisi  Ndikilo.
Pia  alisema kuwa  ,katika uhamasishaji huo Mkoa unakusudia kufanya mambo mawili ikiwemo kuufahamisha  umma kuwa dawa ya kutokomeza malaria ipo Kibaha kwa kutoa elimu kwa vitendo ya matumizi na kuzigawa dawa hizo bure kwa baadhi ya wananchi.
Aidha alisema  kuwa  dawa hizo zitakazogawiwa bure zimenunuliwa na Jumuiya ya wafanyabiashara Mkoani Pwani kwa gharama ya milioni 1.056,000 ili wananchi hao waondokane na malaria.

“Lengo la kampeni hii ni muendelezo wa utekelezaji wa agizo la Rais dkt.John Magufuli alilolitoa wakati wa ziara yake katika kiwanda hicho  Juni 22 mwaka jana ,ambapo aliagiza kila halmashauri Tanzania Bara kununua dawa hii na kuipulizia kwenye maeneo yenye mazalia ya mbu “alifafanua.


Hata hivyo  mhandisi Ndikilo, aliwataka  Wakurugenzi wa halmashauri zote za Mkoa wa Pwani kujitokeza kukunua dawa ili kupambana na mbu kwenye maeneo yao.
Nae Mganga Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Dkt Yudas Ndungile ,alisema licha ya takwimu kuonyesha ugonjwa wa malaria kushuka kimkoa lakini jamii iendelee kujikinga na kutumia njia nyingine kama dawa ,vyandarua ili kukabiliana na ugonjwa huo.
Alielezeakuwa magonjwa yanayoongoza kwa sasa kimkoa ni magonjwa yanayotokana na mfumo wa hewa ,ikifuatiwa na malaria.
DktNdungile alisema ,mwaka 2016 ugonjwa wa malaria ulikuwa ukiongoza lakini kwasasa umeshuka na kuwa wa pili hivyo kuonyesha idadi ya vifo navyo kupungua.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.