• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RAS Mchatta apokea Vikombe na Tuzo KUtoka UMISSETA na UMITASHUMTA

Posted on: August 5th, 2024

Timu za Umoja wa Michezo na Sanaa kwa Shule za Sekondari Tanzania (UMISSETA) na Umoja wa Michezo na Taaluma Shule za Msingi Tanzania (UMITASHUMTA) za Mkoa wa Pwani zimekabidhi makombe ilivyoshinda kwenye mashindano ambayo yaliyomalizika Mkoani Tabora hivi karibuni.

Akipokea vikombe na tuzo hizo Katibu tawala Mkoa wa Pwani Rashid Mchatta na amewapongeza wachezaji hao leo ofisini kwake Mjini Kibaha ambapo timu za riadha zilifanya vizuri kwenye michezo ya riadha na kutupa mkuki kwenye michezo hiyo.

Amesema kuwa wachezaji hao wameuletea sifa mkoa wa Pwani na hiyo imetokana na kutumia vyema vipaji vyao na kuwa na nidhamu na kuzingatia yale waliyofundishwa na walimu wao.

"Nimeambiwa wachezaji tisa watashiriki mashindano ya sekondari kwa nchi za Afrika Mashariki yatakayofanyika hivi karibuni nchini Uganda nawasihi mlinde viwango vyenu,"amesema Mchatta.

Aidha amesema kuwa wanariadha hao waige mfano wa mchezaji wa riadha Steven Akwari ambaye licha ya kuumia lakini alikimbia na kumaliza mbio licha ya maumivu makali.

Naye Mkurugenzi wa Filbert Bayi Elizabeth Mjema amesema kuwa shule inaomba kusaidiwa baadhi ya mahitaji ikiwa ni pamoja na lishe, maji na matunda.

Mjema amesema kuwa inawagharamia baadhi ya wanafunzi wenye vipaji ambao wazazi wao hawana uwezo ambapo lengo la Filbert Bayi ni kutaka wanariadha kufanya makubwa kwenye mchezo huo.

Kwa upande wake mwalimu wa riadha wa timu za Filbert Bayi Ally Nyonyi amesema kuwa timu hiyo inafanya vizuri kutokana na kuwa na maandalizi mazuri na nidhamu.

Nyonyi amesema kuwa wao ni mabingwa kwa miaka mitatu mfululizo kwenye mashindano ya Umisseta na Umitashumta Taifa hiyo inatokana na kuwa na mazingira rafiki ya kufanyia michezo ambapo wanakuwa na muda mwingi wa kufanya mazoezi baada ya masomo.

Wakielezea jinsi walivyojiandaa na mashindano hayo huko Uganda wachezaji hao wamesema kuwa wamejiandaa vya kutosha na wanaamini watailetea nchi ushindi.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • slot thailand
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • toto slot
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88
  • aero88