• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RAS Pwani ayataka Mashirika yasiyo ya Kiserikali kuboresha Mawasiliano na Serikali

Posted on: September 20th, 2022

KatibuTawala mkoa wa Pwani,Zuwena Omary ameyataka Mashirika yasiyo ya kiserikali kuboresha mawasiliano na Serikali katika kutoa taarifa sahihi za utekelezaji wa shughuli wanazozifanya .

Hayo ameyasema Leo Septemba 19,2022 katika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Mashirika yasiyo ya kiserikali kwa kipindi cha Januari hadi Desemba 2021,ulioandaliwa na ofisi ya Mkuu wa mkoa huo, ambapo wawakilishi wa Mashirika 45 walihudhuria .

Alielezea kwamba ,wahakikishe Serikali inapata taarifa za uwazi na ukweli pamoja na changamoto zinazowakabili ili ziweze kutatuliwa.

Zuwena alisema, kwa kutokuwa wawazi na wakweli inasababisha mkoa kutokuwa na taarifa sahihi kwani kwa taarifa zilizopo Kuna Mashirika yalisajiliwa kufanya kazi Mkoani Pwani 300 wakati yanayofanyakazi 82 pekee.

"Mashirika mengine hayafanyi kazi zaidi ya hayo 82, yalianza Lakini yamekwama,Lazima tujitafakuri kwanini hatufikii malengo"

"Kuna Mashirika yasiyo ya kiserikali ambayo yanakihusisha na masuala ya madawa ya kulevya, watoto, wanawake,vijana ,ustawi wa jamii na afya Lakini ukiuliza taarifa zao unakuta hawafanyi shughuli lengwa walizojisajili kuzifanya ndani ya jamii zao"alisema Zuwena.

Akitoa taarifa ya usajili wa Mashirika hayo katika mkoa huo, Msajili Msaidizi wa Mashirika yasiyo ya kiserikali Mkoani hapo, Mgeni Kisanga alisema kuwa , hadi sasa takwimu zinaonyesha Kuna Mashirika 300 kati ya hayo 82 ndio yapo hai.

Mgeni alifafanua kwamba , miradi iliyotekelezwa ni 104 yenye thamani ya sh.bilioni 1.6.

Mashirika yasiyo ya kiserikali Mkoani humo, yameeleza wanakabiliwa na changamoto ikiwemo Ukosefu wa elimu katika Uelewa wa miongozo na sheria sahihi na kanuni juu ya sekta hiyo hali inayosababisha kufungiwa na wengine Kuwa na madeni makubwa ya Mamlaka ya mapato , pamoja na kushindwa kujiendeleza baada ya wafadhili kusitisha ufadhili.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.