• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Kunenga aeleza Matarajio ya Uwekezaji Mradi wa uzalishaji Sukari Lake Agro Rufiji.

Posted on: June 19th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge ameueleza uongozi wa Kampuni ya Lake Agro Investment Ldt inayoanzisha kilimo cha miwa na kujenga kiwanda cha Sukari Wilayani Rufiji kuwa Matarajio ya Mkoa na Serikali ni kuwapatia wanachi, utaalam, Kodi na mchango wa maendeleo kwenye miradi ya jamii.

Kunenge aliyasema hayo Juni 17 alipotembelea eneo la mradi huo uliopo kwenye Vijiji vya Nyanda na Utunge Kata ya Chemchem Wilayani Rufiji na kujionea matayarisho ya awali yanayofanywa na kampuni hiyo inayotarajia kulima miwa, kuzalisha na kuchangia kuondoa nakisi ya Sukari nchini na kuuza ziada nje ya nchi.

“Zaidi ya watu 18,000 wanatarajiwa kupata ajira za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja, Wananchi wetu watapata utaalamu kutokana na teknolojia ya kisasa itakayotumika, kutakuwa na wakulima wengine wa nje Outgrowers ambapo mwekezaji yupo tayari kuwapa msaada wa kitaalamu ili wachangie kuuza miwa kiwandani, pia kutakuwa na Mchango (CSR) wa wawekezaji hawa kwa Jamii." alifafanua RC Kunenge.

Ili kuwezesha mazingira ya uwekezaji na ya jamii kuwa mazuri, Kunenge amesema kuwa wamekubaliana na Uongozi wa Wilaya ya Rufiji kupima eneo lote linalozunguka Mradi huo.

"Tumekubaliana kwa sababu mradi huu ni Mkubwa paanze kupimwa na kupangwa tupate mji unaojitegemea,tupate Maduka sehemu za huduma za Jamii Masoko na makazi ya watu." Alifafanua kunenge

Awali, akitoa taarifa ya uwekezaji, Meneja wa Mradi huo Bw. Abubakar Nassor Manager alibainisha kuwa wanatarajia kulima miwa kwenye enoeo la hekta 15,000 na kiwanda kitazakuwa na uwezo wa kuzalisha sukari tani laki 1 kwa mwaka.

Nassoro amemshukuru Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa Mazingira mazuri ya Uwekezaji na Ushirikiano wanaoupata kutoka Uongozi wa Mkoa. Wa Pwani na akatoa wito kwa Wananchi kuchangamkia fursa hiyo ya kiuchumi.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.