• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Kunenge aanza kushughulikia Migogoro ya ardhi kata ya Mapinga ,Bagamoyo

Posted on: January 31st, 2023

Mkuuwa Mkoa wa Pwani alhaj Abubakari Kunenge ameanza kutekeleza mapendekezo na msimamo wa Serikali juu ya utatuzi wa migogoro ya ardhi iliyokithiri katika kata ya Mapinga Wilayani Bagamoyo.

Akizungumza katika mkutano wa wananchi wa kata hiyo, Kunenge alielezea kuwa nia ni kumaliza migogoro, kuipanga vizuri kata hiyo kwa kufuata sheria kwani haiwezekani Mapinga isishikike badala yake iwe inatajwa kukithiri kuwa na migogoro ya ardhi kuliko maeneo mengine nchini.

Alifafanua kuwa kuanzia februari 2 mwaka huu wa 2023 atafika Mapinga akiwa na orodha ya watu 20 wenye migogoro na wataenda mguu kwa mguu kwenye maeneo husika na kufanya Maamuzi ili kila mmoja aridhike na akaongeza kuwa zoezi hilo litaendelea huku kila mhusika akitaarifiwa juu ya mwenendo na maamuzi hadi watakapomaliza migogoro yote iliyofikishwa kwa Waziri.

"Mtakumbuka nilifika hapa na aliyekuwa Waziri wa Ardhi Mhe. William Lukuvi (mb) kutatua kero za ardhi mkoa wa Pwani na alisema wazi kuwa takwimu inaonyesha hii ndio kata inayoongoza kwa migogoro ya ardhi nchini na akaunda kamati ya watalaam akiwemo Kamishna wa ardhi mkoa na mara ya pili nilikuja tena nikiwa na Waziri wa Ardhi wa sasa Mhe. Angelina Mabula ambapo alieleza kuwa Serikali imepokea mapendekezo ya kamati, na huo ndio msimamo wa Serikali," alifafanua Kunenge.

Aliongeza kuwa ameanza utekelezaji huo katika Kata hiyo ya Mapinga inao utofauti kulinganishwa na maeneo mengine kwani ni rahisi kutatua migogoro ya ardhi tofauti na kata hiyo ambayo migogoro yake ni migumu, ya muda mrefu na migogoro mingine tayari ipo mahakamani na akaeleza kuwa katika hatua hiyo inayochukuliwa na Serikali, wanatarajia kutenda haki lakini hatoweza kumvumilia yeyote atakayeleta chokochoko na kujiona yupo juu ya Serikali.

Hata hivyo mkuu huyo wa mkoa aliweka bayana kuwa katika utekelezaji huo, hataingilia mahakama kwa maana ya maamuzi yaliyofanywa na mhimili huo na akaongeza kuwa endapo kutakuwa na masuala ya maadili kwa waliopewa dhamana ya kufanya Maamuzi yaani watendaji, basi ataarifiwe ili ashughulikie kwa kuwa yeye ni Mwenyekiti wa kamati ya maadili ya mahakimu na atahakikisha kuwa haki inatendeka na kuhakikisha kuwa wananchi wanakuwa salama na amani inatawala.

Awali mkuu wa wilaya ya Bagamoyo Halima Okash alisema kuwa kuna changamoto kubwa ya migogoro ya ardhi na kuwa kata hiyo inaongoza kwa uuzaji holela na uvamizi uliokithiri ambapo taarifa za migogoro hiyo zilishafika mkoani na ikaundwa timu ndogo kuangalia Utaratibu utakaotumika ili kusuluhisha na kutatua changamoto hiyo.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • dora77
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77