• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Kunenge afanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Shirikisho la Wenye Viwanda Tanzania (CTI), amueleza Mkakati wa Mkoa wa Pwani wa kuboresha Mazingira ya Uwekezaji wa Viwanda.

Posted on: June 15th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Pwani mhe Abubakar Kunenge, 2022 amekutana na kufanya Mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirikisho la Wenye Viwanda Tanzania (CTI) Leodgar Tenga.

Akizungumza kwenye kikao hicho Juni 15 Kunenge, ameeleza kuwa Amefanya Jitihada za kukutana Uongozi huo kwa sababu Mkoa wa Pwani ni Mkoa Uwekezaji hususan Viwanda ambapo hadi sasa wanaviwanda 1453 ambapo Viwanda vikubwa ni 87.

Ameeleza kuwa Mkoa wa Pwani kwa kushirikiana na TIRDO tayari wameandaa Ramani ya Uwekezaji wa Viwanda (Industrial Mapping) inayoonesha Viwanda vilipo, Upatikanaji wa Malighafi na kurahisisha kufika Viwandani hapo. Amemwomba waangalie namna ya kushirikiana na Mkoa kuzindua Mpango huo.

Ameeleza kuwa katika ziara yake Viwandani Changamoto kubwa alizokutana nazo ni Changamoto ya Umeme, Maji, na Barabara.

"Wawekezaji wamesema tukiwapa umeme wataongeza Uwekezaji"

Ameeleza kuwa Wawekezaji wanalalamikia Muda mwingi kutumia kupasha moto mitambo yao na pindi wakianza uzalishaji Umeme unakatika.

Ameeleza kuwa Serikali imeipa Kipaumbele Mkoa wa Pwani katika Upatikanaji wa Umeme, Maji na Barabara.

Aidha Mkuu huyo wa Mkoa ameeleza Mikakati ya Mkoa wa Pwani ni Kuvutia na Kuongeza Uzalishaji kwa Viwanda Vilivyopo.

“Lazima tuwe na Mikakati ya kuvutia na kutaka viongezeke(Growth) kama mwekezaji amepanga kupata faida ndani ya miaka mitatu tutawasaidia, Sisi iwe sababu ya wao kuongezeka" Ameeleza Kunenge.

Amemweleza azma yake ya kuboresha Vikao vya Mabaraza ya Biashara ya Mkoa Ili viwe na Tija."Tatizo la Vikao hivi tukiitisha wanahudhuria watumish wa chini Wawekezaji, tunaangalia Upya Ameeleza Kunenge.

Aliendelea kusema kuwa, Mkoa huo upo kwenye Mpango wa kupanga Mji mpya wa kibiashara (Kwala Commercial City) uliopo Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha ambapo kutakuwa na Uwekezaji Mkubwa wa Viwanda vikubwa 350, Bandari kavu ya Kwala na kituo cha kuunganisha Vichwa vya Treni (marshalling Yard) Barabara ya Zege kutoka Vigwaza hadi Eneo la Industrial Park,na Nchi Jirani kuwa na maeneo kwenye eneo hilo kuhifadh Mizigo yao.

Amemweleza kuwa Mkoa huo unatatajia kuwa na Wiki ya Maonesho makubwa ya Viwanda Biashara na Uwekezaji Mkoa wa kuanzia Tarehe 1 -6 Sept 2022 katika Viwanja vya Sabasaba Mkuza Kibaha.

"Nawaeleza haya yote CTI ili mpate kushiriki katika Fursa hizi zote na Sehemu yenu ya kuonesha kazi zenu iwe Mkoa wa Pwani.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa CTI Bw. Leodgar Tenga amemshukuru Mhe Mkuu wa Mkoa kwa mapokezi, Ameeleza kuwa amekuja ili awe karibu na Uongozi wa Mkoa wa Pwani katika kutatua Changamoto za Wawekezaji wa Viwanda Mkoani Pwani. Ameeleza kuwa CTI Sasa itakuwa na wajibu wa kutangaza hayo yote na kushirikiana kikamilifu na Mkoa huo ikiwemo kuandaa Maonesho ya Viwanda na kupanga Mji mpya wa kibiashara wa Kwala.




Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.