• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Kunenge afungua Mafunzo ya Elimu ya Uraia na Utawala Bora.

Posted on: March 10th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge, amefungua mafunzoya siku moja kuhusu Elimu ya Uraia, Utawala Bora, na Haki za Binadamu kwaviongozi wa Halmashauri za Mkoa wa Pwani. Mafunzo hayo yalifanyika katikaukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Kibaha, yakiratibiwa naWizara ya Katiba na Sheria.

Katika hotuba yake ya ufunguzi, Mhe. Kunenge alisisitiza umuhimuwa viongozi kufuata misingi ya haki, sheria, na kanuni za utawala bora ilikuleta mabadiliko chanya katika jamii wanayoiongoza. Aliwataka viongozi haokutekeleza majukumu yao kwa uwajibikaji na kuzingatia mahitaji ya wananchikabla ya kufanya maamuzi.

Serikali imejizatitikutoa mafunzo haya ili kuwajengea viongozi uelewa wa kina kuhusu misingi yahaki na utawala bora. Ni lazima tusikilize wananchi na kuzingatia maoni yaokatika uamuzi wowote. Wajibu wenu ni kujifunza na kuleta matokeo chanya;tujipime kwa kuona ni wananchi wangapi wameridhika na utendaji wetu,alisemaMhe. Kunenge.

Aidha, alisisitiza kuwa viongozi wanapaswa kufanya kazi kwakuzingatia vipaumbele vya wananchi na kufuata maadili ya utendaji, hukuwakitafuta suluhisho la changamoto zinazowakabili.

Lazima tujue vipaumbelevyetu na kuwa na uthubutu wa kufanya kazi yenye tija. Kiongozi mzuri ni yuleanayebadilisha maisha ya wananchi kwa vitendo, si kwa maneno pekee,”aliongeza.

Mafunzo haya yaliwahusisha Kamati ya Usalama ya Mkoa, viongoziwa wilaya, na watendaji wa kata kutoka Halmashauri mbalimbali za Mkoa wa Pwani,pamoja na wataalamu wa sheria na utawala bora.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Katiba naUfuatiliaji wa Haki, Bw. Lawrence Kabigi, alieleza kuwa lengo kuu la mafunzohaya ni kuwajengea viongozi uelewa wa kina kuhusu misingi ya demokrasia,utawala bora, na haki za binadamu ili kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.

Ni muhimu kwa viongozi kukumbushana mara kwa mara majukumu yaoili kuongeza umakini na ufanisi katika utendaji wa kazi. Tunatarajia kuwa baadaya mafunzo haya, viongozi watazingatia haki za binadamu, utawala wa sheria,ushirikishwaji wa wananchi katika maamuzi, na uwajibikaji wa viongozi kwajamii, alisema Bw. Kabigi.

Aidha, aliwashukuru viongozi wa Mkoa wa Pwani kwa ushirikianowao katika kufanikisha mafunzo hayo na kusisitiza kuwa Serikali itaendeleakutoa mafunzo kama haya ili kuhakikisha misingi ya utawala bora inazingatiwakatika kila ngazi ya uongozi.

Mafunzo hayo yaliangazia mada mbalimbali, zikiwemo utawala washeria, uwajibikaji wa viongozi, ushirikishwaji wa wananchi katika maamuzi, naumuhimu wa kuheshimu haki za binadamu katika utendaji wa Serikali.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.