• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Kunenge ahamasisha Wazazi Kupeleka Watoto wapate Chanjo ya Surua ,Rubella

Posted on: February 16th, 2024


Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge amehamasisha wakazi wa mkoa huo kuwapeleka watoto wote wenye umri wa kuanzia miaka sifuri hadi mitano kwenye vituo vya kutolea huduma za afya kupata chanjo dhidi ya Surua na Rubella inayotolewa na serikali bila malipo.

Ameyasema hayo leo Februari 16, 2024 alipokutana na waandishi wa habari kuzungumzia umuhimu wa watoto kupatiwa chanjo hiyo na akaeleza kuwa ni muhimu watoto wote wenye umri wa kuanzia miaka sifuri hadi mitano kupata chanjo hizo ili kupata kinga ya kupambana na magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya hewa.

amesema kwa mkoa wa Pwani, watoto wenye umri chini ya miaka mitano wapatao 174,298 watapata chanjo katika maeneo mbalimbali kuanzia ngazi ya vituo vya huduma za afya, ngazi ya kaya kupitia kliniki inayotembea, mkoba, shuleni na maeneo mengine yaliyoanishwa.

“Zoezi la utoaji chanjo mkoani Pwani limezinduliwa februari 15 mwaka huu na litahitimishwa februari 18, imani yangu ni watoto wote kupatiwa chanjo hiyo, hivyo nitumie fursa hii kuwaomba viongozi wa serikali, dini, siasa na makundi maalum kusaidia kampeni hii ili watoto waliokusudiwa wapate chanjo,” amesema Kunenge.

Nayo Wizara ya Afya imewahakikishia wananchi kuwa chanjo ya Surua na Rubella ni salama na haina madhara yoyote kiafya hivyo ni muhimu watoto wote wenye umri chini ya miaka mitano wakapelekwa kupatiwa huduma hiyo ili kujikinga na maradhi ikiwemo nimonia, utapiamlo, ulemavu pamoja na kifo.

Hayo yamesemwa na Mratibu wa mradi wa Mpango wa Taifa wa Chanjo, Dk. Georgina Joachim, kwenye uzinduzi wa chanjo uliofanyika ofisi ya mkuu wa mkoa wa Pwani.

Amesema maneno yanayosemwa na wananchi kuhusu chanjo za Surua na Rubella kuwa na madhara sio kweli na kwamba hakuna taarifa yoyote waliyoipokea wizarani kwamba chanjo hizo zina madhara kwa binadamu.

Mganga mkuu wa mkoa, Dkt. Benedicto Ngaiza amesema Februari 15, zaidi ya watoto 50,000 walipatiwa chanjo ya surua na Rubella kutoka maeneo mbalimbali ya kutolea huduma mkoani humo na kuongeza kuwa muitikio ni mkubwa na huduma hiyo inatolewa bure.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.