• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Kunenge aridhishwa maandalizi timu ya Mkoa kushiriki Mashindano ya UMITASHUNTA Taifa

Posted on: July 25th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Abubakar Kunenge ameridhishwa na maandalizi ya timu ya UMITASHUMTA Mkoani humo kushiriki katika michezo hiyo kitaifa inayotarajiwa kufanyika Mkoani Tabora kuanzia Julai 30 hadi Agosti nane 2022.

Mhe. Kunenge amebainisha hayo Julai 24, wakati akifunga michezo hiyo uliyodumu kwa muda wa siku tatu kuanzia Julai 22 hadi 24, 2022 kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari Kibaha na kuona utayari wa wanamichezo wa Mkoa huo kuibuka na ushindi .

“Kwa haya maandalizi, na utayari mlionao wa kupambana kuuletea heshima Mkoa wetu na hatimae nchi yetu, mimi ninachukua ulezi wa vijana hawa,” alisema Kunenge.

Alisema mikakati mingi ya kimaendeleo Mkoani humo ikiwemo ya viwanda imefanikiwa hivyo akaelekeza mikakati hiyo iimarishwe kwenye michezo kwani mkoa huo unao vijana wengi wenye vipaji ambavyo vinapaswa kuendelezwa.

"Waziri wa Michezo Mohamed Mchengerwa anatoka mkoa wa Pwani hivyo lazima tuonyeshe uwezo ili kumuunga mkono kwa Mkoa wetu kuwa na hamasa kubwa ya michezo," alisema Kunenge.

Akizungumzia wimbo ulioimbwa na mwanafunzi Dotnata Athumani kutoka Kisarawe wa kuhamasisha watu kushiriki kwenye Sensa ya Watu na makazi itakayofanyika Agosti 23, 2022, RC kunenge ameusifu akisema kuwa mwanafunzi huyo ameutendea haki kwani ameuimba vizuri ukiwa na fani, maudhui na ujumbe mzuri.

Naye Afisa Elimu Mkoa wa Pwani Sarah Mlaki akitoa taarifa ya awali alisema kuwa mashindano hayo ni ya 26 na kuwa yamefanyika kwa siku tatu kuanzia Julai 22 hadi leo Julai 24, 2022 yakijumuisha Wanafunzi 900 na Walimu 61.

“Katika Mkoa wa Pwani kuna Shule mbili maalum za Michezo ambazo ni Zuhuwale ya Kibaha na Fukayosi iliyopo Bagamoyo, lakini kutokana na uhotaji tumeamua kufanya Uteuzi wa shule zingine mbili ili kukidhi mahitaji,” alisema Mlaki.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.