• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Kunenge atoa wito kwa Wannchi wa Mkuranga Kujitokeza na Kijiandikisha katika Orodha ya Mpiga Kura .

Posted on: October 19th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ameendelea kuhamasisha wananchi wa mkoa huo, hususan Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga, kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwenye Daftari la Mpiga Kura kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Kunenge alitoa wito huo Oktoba 19, wakati akihutubia kwenye tamasha kubwa la “Nyama Choma Festival” lililofanyika katika viwanja vya Stendi ya Mwandege, lililoandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, kwa lengo la kuwahamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwenye orodha ya mpiga kura ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Akizungumza katika tamasha hilo, Kunenge alisisitiza umuhimu wa wananchi wa Mkuranga kushiriki kikamilifu katika mchakato wa uchaguzi ili waweze kuchagua viongozi wanaowawakilisha vyema.

“Mkishiriki vizuri katika mchakato mzima wa uchaguzi huu, ikiwa ni pamoja na kujiandikisha kwenye orodha ya mpiga kura, mtapata haki ya kumchagua kiongozi mnayemtaka, ambaye atawasaidia kuleta maendeleo katika maeneo yenu,” alisema Kunenge.

Aidha, Kunenge aliwahamasisha watu wenye sifa kujitokeza kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi, ili waweze kuwaongoza wananchi wao kwa ufanisi na kuwaletea maendeleo.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Kunenge Ashiriki Kupiga Kura , Awataka Wananchi wa Pwani kuendelea kujitokeza kwa wingi

    October 29, 2025
  • Dumisheni Umoja na Utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu- Kamati ya Amani Pwani

    October 28, 2025
  • Vituo 3,941 vya kupiga kura vyaandaliwa Mkoani Pwani Kuelekea Uchaguzi mkuu

    October 27, 2025
  • RC Kunenge akabidhi Vitendea kazi vya Zaid ya Sh. Bilion 7 kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Pwani

    October 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • DORA77
  • KOI200
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200