• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Kunenge awaasa wananchi kuzingatia Sheria

Posted on: February 2nd, 2024

Mkuu wa mkoa wa Pwani Mhe Abubakar Kunenge amewataka wananchi wote Mkoani hapa kuheshimu na kuzingatia sheria za nchi zilizoweka.

Pia ameiomba Mahakama na watoa maamuzi kutoa maamuzi kwa kuzingatia sheria ya nchi bila kufanya uonevu wowote.

Rai hiyo ameitoa Februari I, 2024 wakati wa maadhimisho ya siku ya Sheria nchini yakiwa na kauli mbiu isemayo “Umuhimu wa dhana ya haki kwa ustawi wa Taifa: Nafasi ya Mahakama na wadau katika kuboresha Mfumo Jumuishi wa Haki Jinai,” ambapo kimkoa yamefanyika wilayani Kibaha katika Viwanja vya mahakama ya Hakimu Mkazi Pwani.

Kunenge amesema kuwa haiwezekani kuwa na utawala bora kama hakuna uzingatiaji wa utawala wa sheria na kuwa nchi hii inaongozwa kwa taratibu na kanuni za kisheria na hakuna aliye juu ya sheria hivyo watu wote wanapaswa kufuata sheria.

Ameeleza kuwa wananchi wengi hawafahamu vizuri masuala ya kisheria hivyo amewaomba wananchi hao kufuatilia kwa makini elimu za kisheria zinazotolewa na vyombo vya Habari huku akiziomba taasisi zinazojihusisha na masuala ya kisheria kutoa huduma ya elimu ya masuala hayo kwa wananchi.

RC Kunenge pia ameziasa mahakama kufanya maamuzi katika mashauri mbalimbali badala ya kukaa nayo kwa muda mrefu ambapo huleta sintofahamu kwa wananchi.

Ameeleza kuwa haki inaleta ustawi kwa jamii hivyo mwananchi anatarajia kupata haki yake kwa wakati na akichelewa yeye anahukumu kuwa mahakama haitendi haki ingawa inafanya kazi kwa mujibu wa Sheria.

“Mkoa huu tunadhamana kubwa ya kumsaidia Rais wetu, hivyo kama sisi ni watu wa kufanya maamuzi tunapwa kutenda haki, tusimuonee mtu wala tusimpendelee mtu,” amesema Kunenge,“ na akaongeza kusema "tunafahamu mahakama inafanya kazi kubwa sana ya mfumo lakini sasa wananchi mifumo hiyo baadhi yao hawaifahamu hivyo elimu bado inahitajika kwa wananchi ili wasuje kuona wamekosa haki zao.”

RC kunenge amemalizia kwa kuwataka wanasheria wa kujitegemea kufanya kazi kwa weledi na kuzingatia kiapo chao ili kuweza kuleta haki na kuacha kufanya kwa maslahi yao binafsi

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.