• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Kunenge awataka waharibifu wa Misitu ,Vyanzo vya Maji Kuacha Mara Moja

Posted on: November 26th, 2022

Uongozi wa Mkoa wa Pwani, umeagiza wale wote wanaovuna mazao ya misitu bila kufuata sheria kuondoka mara moja kwenye hifadhi za Misitu na vyanzo vya maji mkoani humo.

Agizo hilo limetolewa leo Novemba 25, 2022 na Mkuu wa mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge alipokutana na kuzungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.

Katika mkutano huo uliohudhuriwa pia na Kmati ya Usalama mkoa pamoja na Wakala wa huduma za Misitu Tanzania (TFS) Kanda ya Mashariki na wilaya ya Kibaha, Mhe. Kunenge alitahadharisha kuwa yeyote atakayekaidi na kukiuka agizo hilo atachukuliwa hatua za kisheria ili iwe fundisho kwa wengine.

Alitoa tamko na maagizo hayo ya utunzaji wa mazingira katika vyanzo vya maji na uvunaji wa raslimali za misitu, kwa waandishi wa habari Mkoani Pwani.

Mkuu huyo wa mkoa aliwataka viongozi mbalimbali katika Mkoa huo kuanzia ngazi ya chini pamoja na wakuu wa wilaya kusimamia utekelezaji wa maagizo hayo na akawaasa wananchi kushiriki kikamilifu katika kuhifadhi mazingira ikiwa ni pamoja na vyanzo vya maji.

"Kuna uvunaji holela wa misitu kwenye Maeneo ya vijiji na uharibifu wa vyanzo vya maji kinyume cha sheria, jambo hili lisiendelee tena kwasababu tunafahamu misitu hii ni maliasili ya Taifa na inavunwa na kutunzwa kisheria," alisema Mhe. Kunenge.

Katika hatua nyingine, Mhe. Kunenge alikemea ufugaji holela wa mifugo na akasema kuwa mkoa umeanza kutambua na kutenga maeneo kwa ajili ya kuwapa wafugaji kuhifadhi mifugo yao na akawataka wafugaji kuanza kufuga kwa tija kwa kubakiza mifugo michache wanayoweza kuimudu.

"Mifugo isizurure ovyo, sisi kama mkoa kwa hatua ya sasa tunatenga maeneo ya wafugaji, wafugaji lazima wavune mifugo ili kubaki na mifugo michache yenye tija na wanapaswa kujuwa kuwa ardhi haiongezeki," alisema.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.