• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Kunenge azitaka halmashauri kuwachukulia hatua za kisheria kwa watumishi watakaosababisha Hoja.

Posted on: June 17th, 2021

Mkuu wa Mkoa Pwani mhe Abubakar Kunenge ,imeiagiza halmashauri ya Mji wa Kibaha na halmashauri ya wilaya ya Kibaha ,kuhakikisha zinafunga hoja zote ambazo hazijafungwa katika ukaguzi wa hesabu za Serikali ,kwa mwaka 2019/2020 ,ifikapo September 30 mwaka huu.

Akitoa maagizo hayo Juni 17,wakati wa baraza la madiwani kupitia na kujadili taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi wa hesabu za Serikali (CAG )mwaka 2019/2020, alisema ,hoja hizo zifungwe na kama watakwama watoe taarifa.

Alibainisha hoja zinazohusisha taasisi nyingine nazo zishughulikiwe na kuhakikisha hazijirudii kwa mwaka mwingine .

Pamoja na hayo,alieleza ni wakati wa kuwachukulia hatua za kinidhamu watumishi ambao watabainika kusababisha hasara kwa halmashauri.

Kunenge aliongeza ,adhabu itakayotolewa ilingane na ukubwa wa hasara aliyosababisha mtumishi lengwa ili kusaidia kulinda maadili na uwajibikaji.

Pia mkuu huyo wa mkoa, alielekeza ,kutenga fedha kwa ajili ya miradi iliyokwama muda mrefu .

"Epukeni kuzalisha hoja ,ongezeni wigo wa ukusanyaji mapato na halmashauri ibueni vyanzo vipya vya mapato ili kuinua mapato ." alisema Kunenge

Kunenge aliongeza ili kutekeleza ilani ya CCM ,madiwani waendelee kusimamia miradi kwa maslahi ya wananchi kwa lengo la kutunza matarajio ya wananchi.

Nae mkaguzi mkuu wa hesabu ,Mkoani Pwani Mary Dibogo ,alisema wao wapo kwa ajili ya kufanya ukaguzi kwa maslahi ya jamii na serikali hivyo CAG haiwezi kuonea halmashauri yoyote .

Alitaka fedha zinazotolewa kwa ajili ya miradi zifanyiwe kazi husika na ijengwe kwa thamani inayolingana na fedha iliyotolewa bila miradi hiyo kukaa kwa muda mrefu pasipo kukamilishwa.

Alizitaka halmashauri hizo,kusimamia ukusanyaji wa mapato ,na kuhakikisha yanafika sehemu sahihi .

Kwa upande wake ,Katibu tawala Mkoani Pwani ,Mwanasha Tumbo alitoa rai kwa watumishi na watendaji kuacha kufanya kazi kwa mazoea .

Mwanasha aliwaasa kufuata sheria ,kanuni na muongozo katika masuala ya ukaguzi ili kuondokana na dosari ndogondogo.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 - MKOA WA PWANI December 18, 2020
  • MWALIKO WA KIKAO CHA BARAZA LA BIASHARA MKOA WA PWANI. June 10, 2021
  • ZIARA YA MKUU WA MKOA PWANI MH. MHANDISI EVARIST NDIKILO YA KUSIKILIZA NA KUTATU KERO ZA WANANCHI. August 10, 2020
  • TAARIFA KWA UMMA - AWAMU YA KWANZA YA VIWANDA VILIVYOWEKEWA MAWE YA MSINGI NA MHESHIMIWA ENG. EVARIST NDIKILO, MKUU WA MKOA WA PWANI August 30, 2019
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC kunenge : Rais kautendea haki MKOA wetu miradi ya Barabara

    June 29, 2022
  • Wakazi wa Mwanalugali wapata Zahanati

    June 28, 2022
  • Maafisa Biashara tumikeni kuvutia wawekezaji

    June 27, 2022
  • Mradi wa Umeme Vijiji REA watakiwa Kubosresha Mazingira ya Uwekezaji Pwani-RC Pwani

    June 21, 2022
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.