• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Kunenge : Mashauri Mengine si ya kusuluhisha

Posted on: February 1st, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Abubakar Kunenge ameziasa taasisi zinazosimamia sheria kutoingiza baadhi ya mashauri kwenye taratibu za usuluhishi akitaja mfano wa zinazohusu kuwapa mimba Wanafunzi.

Mhe. Kunenge aliyasema hayo leo Febuari Mosi, 2023 wakati wa maadhimisho ya siku ya Sheria nchini ambayo Kimkoa yamefanyika katika Viwanja vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kibaha.

Akizungumza kwenye Hafla hiyo Mhe. Kunenge pia amezisisitiza taasisi hizo kuwapa Wananchi Elimu ya taratibu za kimahakama ikiwa ni pamoja na zinazohusu kukata rufaa katika kutafuta haki zao.

"Nchi yetu inamihimili mitatu ambayo ni Serikali, Bunge na Mahakama, pamoja na kuwa mihimili hii inajitegemea lakini ni lazima zishirikiane na watendaji katika mihimili hiyo watumbue kuwa kipaumbele cha Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ni kuimarisha Demokrasia na Utawala wa Sheria" alifafanua Kunenge.

Mkuu huyo mkoa alibainisha kuwa yeye kama Kiongozi wa Serikali ya Mkoa, anaheshimu maamuzi ya Mahakama lakini anayo nafasi ya kushughulikia baadhi ya masuala kwa nafasi yake ya Uwenyekiti wa maadili ya mahakimu.

Akizungumzia Kauli mbiu ya Siku hiyo ya Umuhimu wa Utatuzi Wa Migogoro kwa njia ya usuluhishi katika kukuza Uchumi Endelevu, Hakimu Mkazi Mfawidhi Mahakama ya Wilaya ya kibaha Mhe.Joyce Mkhoi pamoja na kumshukuru Mhe. Kunenge kwa kuwezesha kupatikana eneo la kujenga Mahakama Kuu, pia alieleza kuwa Mahakama inaendelea kutoa kipaumbele kwenye usuluhishi kwa kesi za jinai na madai na akaviomba vyombo vya habari kutoa elimu kwa Wananchi faida za usuluhishi Ikiwemo kuokoa muda na wananchi kuendelea na shughuli za Uzalishaji Mali na akaeleza kuwa changamoto wanayokabiliana nayo ni upungufu wa Wataalamu wa usuluhishi kwa ngazi ya Kata na Wilaya.

Katika maadhimisho hayo, akisoma hotuba ya kwa niaba ya Mawakili wa Kujitegemea TLS , Pwani, Wakili Julieth amesema wanaamini katika usuluhishi kutatua Migogoro mbalimbali badala ya kukimbilia mahakamani na akasema kuwa Usuluhishi unatatua Migogoro, kukuza undugu na kuongeza wigo wa upatikanaji haki kwa gharama nafuu.

Naye Mkuu wa Mashtaka Mkoa wa Pwani Wakili Mkunde Mshanga akitoa Salaam kwenye hadhara hiyo alieleza kuwa kauli mbiu ya Utatuzi wa Migogoro kwa usuluhishi ni takwa la Msingi kwa mujibu wa Katiba na kuwa wataendelea kusimamia maelekezo ya Serikali ya kumaliza Migogoro kwa njia ya maridhiano.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.