• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Ndikilo amaliza ziara yake ya uwekaji wa mawe ya msingi katika Viwanda 15 Mkoani Pwani

Posted on: August 28th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist ndikilo amehitimisha ziara yake ya Awamu ya Kwanza ya uwekaji mawe ya msingi kwenye viwanda tarehe 27 Agosti 2019.

Akiwa  kwenye ziara yake hiyo Mhandisi Ndikilo alianza kwa kuweka jiwe la Msingi kwenye kiwanda cha kuchakata Mhogo cha Tanzania Huafeng Agriculture Development Ltd kilichopo Mkuranga. Kiwanda hicho kinajegwa kwa gharama ya shilingi bilioni 9.1 na kinategemea kutoa ajira 100 za moja kwa moja, katika awamu ya kwanza kitakuwa na uwezo wa kuchakata Tan 200 za muhogo kwa siku.

Pia amewataka wakazi wa Mkuranga kulima muhogo kwani soko lipo la uhakika na ametoa rai kwa maafisa kilimo wote Mkoani humo kutembelea kiwanda hicho na kuhamasisha wananchi kulima muhogo. Aidha ameelekeza Sekretariet ya Mkoa wa Pwani kuandaa na kuitisha Mkutano wa wadau wa Muhogo Mkoa wa Pwani utakao lenga kujadiliana utaratibu mzuri wa kuuza na kununua muhogo. Vilevile ametoa wito kwa wakulima wote kukitumia Kituo cha utafiti wa kilimo kibaha ili kupata mbegu bora za muhogo.

Katika hatua nyingine ameweka Jiwe la Msingi kwenye Kiwanda cha kuchakata Betri Wilayani Rufiji.

Akipokewa na wakazi wa nyamwage wilayani Rufiji Mhe Ndikilo amewaeleza kuwa kuwepo kwa kiwanda hicho kunakwenda kuinua Uchumi wa Rufiji, kwani kitatoa ajira na kulipa mapato kwa Serikali. Aidha mwekezaji ataisaidia jamii kutatua changamoto mbali mbali.

Amewataka Uongozi wa Rufiji kupanga matumizi bora ya ardhi kwa kuwa uwekezaji mkubwa wa Viwanda utakuwa katika ukanda huo kwa sababu ya uwepo wa nishati ya umeme ya uhakika kutoka katika bwawa la Nyerere.

Afkifungua kiwanda cha Maziwa cha mothers diary kilichopo Ikwiriri, Mhe. Ndikilo amewataka wafugaji kufuga kisasa, kuchanja mifugo yao, kuandaa malisho na kuanzisha vyama vya wafugaji wa n'gombe wa maziwa.

Mhe. Ndikilo amehitimisha ziara yake ya uwekaji mawe ya Msingi kwenye Viwanda Awamu ya Kwanza kwa kuweka Mawe ya Msingi kwenye viwanda 15 katika Wilaya za Bagamoyo, Kibaha, Mkuranga na Rufiji.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.