• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Ndikilo ampa Mkurugenzi wa Kisarawe Miezi mitatu kuhakikisha Kitengo cha Mkaguzi wa ndani kinajitosheleza.

Posted on: July 5th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo ametoa miezi mitatu kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe Mussa Gama na Ofisa Utumishi , kuhakikisha kuwa kitengo cha  ukaguzi wa ndani kinajitosheleza kwa ikama ya watumishi na vitendea kazi.

Ameeleza kuwa kitengo hicho  kiangaliwe kwa jicho la tatu, ili kiweze kutekeleza majukumu yake kikamilifu wakati wa Ukaguzih

Akizungumza katika baraza maalum la Madiwani kupitia hoja za mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (CAG) Mhandisi Ndikilo alieleza kuwa  “haiwezekani  kitengo muhimu kama hiki  kinachosaidia baraza la madiwani katika kusimamia fedha za Serikali kinakosa  watumishi wa kutosha na vitendea kazi”.

Pia alisema  kuwa kumekuwepo na changamoto za kiutendaji katika raslimali watu na fedha na kusimamia miradi ya maendeleo":Hivyo amewataka watumishi waote wa halmashauri za mkoa Pwani kuhakikisha kuwa wanaufata sheria na taratibu katika utendaji wao wa kazi ili kuweza kuondoa dosari zinazojitokeza wakati wa ukaguzi.

Katika hatua nyingine Mhandisi Ndikilo ameongezea kwamba, CAG asionekane ni adui kwani ni mshirika wa kuweka mambo vizuri kuhakikisha fedha za serikali haziliwi wala  kufujwa.

Nae Mkaguzi wa hesabu wa nje mkoani Pwani, Hamis Juma ameipongeza halmashauri ya Wilaya yaKisarawe kwa kupata hati safi tena na alitaka ushauri na maoni  yaliyotolewa katika hoja 26 zinazoendelea kufanyiwa kazi na halmashauri hiyo zifanyiwe kazi .

Awali akimkaribisha Mkuu huyo wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo alisema halmashauri hiyo imepokea taarifa ya ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kutoka kwa mdhibiti wa hesabu za serikali mwezi april 2019 ikionyesha hati safi na hoja za ukaguzi.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • dora77
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77