• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Ndikilo ampongeza Rais Magufuli kwa Mapambano dhidi ya Madawa ya Kulevya

Posted on: August 12th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Mhandisi Evarist Ndikilo amempongeza Rais Mhe. Dkt John Pombe Magufuli kwa kuazisha Tume ya kupambana na Madawa ya kulevya, pia kuwezesha kuanzishwa Kliniki ya tiba ya waraibu Wilayani Bagamoyo, aidha amempogeza kwa mpango wa kuanzisha kliniki nyingine ya waraibu katika Hospitali ya Mkoa ya Tumbi.

Pongezi hizo amezitoa 12 Agosti, 2020 wakati wa ziara yake ya ukaguzi wa miradi ya maendelo na kusikiliza kero za wananchi Wilayani Bagamoyo ambapo alitembelea na kukagua ukarabati wa jengo la kliniki hiyo iliyopo hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo.

Akizungumza na Waraibu hao Ndikilo alisema kuwa Serikali imefanya jambo jema sana kwa kuanzisha Kliniki hii ambayo kwa kiasi kikubwa imeweza kuwasaidia Vijana ambao walijiingiza katika matumizi ya madawa hayo. akiwapongeza waraibu hao kuachana na madawa ya kulevya alisema“Madawa ya kulevya sasa basi, Madawa ya kulevya ni hatari, yanaangamiza utu wa binadamu, yanaua nguvu kazi ya nchi Hongereni kwa uamuzi mliochuku" alisema Ndikilo.

Aliendelea kusema kuwa Rais Wetu Mhe Dkt John pombe magufuli tangu aingiee madarakani ameendelea kupambana na madawa ya kulevya na kuunda Tume ya kuthibiti madawa ya kulevya Nchini."Juhudi zetu zimefanikiwa kupambana na madawa haya, nipongeze jeshi la polisi kwa kupambana na hili, lakini bado ongezeni nguvu. taarifa anazopata za kuripoti uwepo madawa ya kulevya Mkoani Pwani zimepungua”alifafanua Ndikilo.

Aliendelea kusema kuwa , waingizaji wa madawa haya hawana nafasi kwa kipindi hiki na amewataka wananchi wazidi kuto ushirikiano katika kutokomeza biashara hii kwa kuwataja majina ya wahusika wote ili vyombo vya Dola viwashughulikie

Mkuu wa Mkoa huyo amewashauri waraibu hao kutengeneza vikundi vya ujasiriliamali ambavyo vitaweza kuwasaidia katika kuinua uchumi wao katika kuwahamasisha kujishughulisha kiuchumi aliendesha harambee ndogo ambayo ilikusanya shilingi  laki Tatu na akahadi kukipatia kikundi hicho shulingi laki Tano pia Mkuu wa wilaya ya Rufiji aliahidi laki mbili na kupelekea fedha hizo ni shilingi milioni Moja.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.