• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Ndikilo ataka Vitu vya Afya na Zahanati kuwa wazi masaa yote i kutoa huduma kwa Wananchi

Posted on: April 14th, 2021

Waganga Wakuu wa Wilaya Mkoa wa Pwani watakiwa kuhakisha Zahanati na Vituo vyote vya Afya vinakuwa wazi masaa yote, siku Saba katika juma hasa Vijijini penye wananchi Wengi ili kuhudumia Wanachi.

Rai hiyo ameitoa Mhe. Mhandisi Evarist Ndikilo wakati wa Kikao cha tatu cha nusu mwaka Julai- Desemba 2020 Cha Tathmini ya Mktaba wa Lishe na CHF iliyoboreshwa Mkoa wa Pwani leo Aprili 14, 2021 katika Ukumbi wa Mikutano uliopo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Kibaha

Akizungumza kwenye kikao hicho Ndikilo amesisitiza kuwa "Nchi yetu haijapungukiwa wataalamu, mambo kama haya ya Wataalamu kufunga vituo vya Afya na Zahanati si ya kufumbia macho hata kidogo, ikibainika kituo kimefungwa wahusika wachukuliwe hatua ikiwepo kuachishwa kazi" alisema Ndikilo

Amewataka Viongozi wa Mkoa huo kuwa na utaratibu wa kutembelea Zahanati na Vituo vya Afya na kuchukua hatua pale wanapokuta vituo hivyo vimefungwa, na husababisha wananchi kukosa huduma.

Ndikilo ameeleza Wananchi kufika na kukosa huduma katika Vituo vya Afya na Zahanati kunasababiasha kushusha ari ya Wananchi kujiunga na CHF iliyoboreshwa katika Mkoa huo.

Amewataka Viongozi wa Dini kuhimiza Waumini wao kujiunga na CHF iliyoboreshwa katika Nyumba zao za ibada

Ameeleeza hali ya usajili katika mfuko wa Bima ya afya ya jamii (CHF) iliyoboreshwa hairidhishi ,hadi Machi,2021 ni kaya 10,038 pekee sawa na asilimia 5.1 zimejiunga na mfuko huo kati ya kaya 294,634.

Kuhusu Lishe Ndikilo Ameeleza kwa Mwaka uliopita Mkoa huo ulishika nafasi yaTano Bora katika Mikoa yote, Ameeleza kuwa Lishe Bora Ni kichocheo cha maendeleo endelevu, ametaja hali ya udumavu Mkoa huo ni Asilimia 23.8% ukilinganisha na taifa wa Asilimia 30.1,

Ndikilo amesema Utekelezaji wa Mkataba wa Lishe kwa Mkoa hauridhishi hususani katika kiashiria Cha utoaji wa Fedha kwa ajili ya Utekelezaji wa Shughuli za Lishe. Amewataka Wakurugenzi kutoa Fedha ili Utekelezaji wa Lishe ufanyike.


Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Madiwani wa Kibaha na Chalinze watakiwa Kuwa Mabalozi wa Usimamizi Bora wa Miradi ya Maendeleo

    January 15, 2026
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Afungua mafumzo ya mfumo wa O&D Ulioboreshwa

    January 15, 2026
  • RC Kunenge Atoa Muongozo wa Utekelezaji wa Shughuli za Serikali Mkoani Pwani

    January 09, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200