• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Ndikilo ataka Vitu vya Afya na Zahanati kuwa wazi masaa yote i kutoa huduma kwa Wananchi

Posted on: April 14th, 2021

Waganga Wakuu wa Wilaya Mkoa wa Pwani watakiwa kuhakisha Zahanati na Vituo vyote vya Afya vinakuwa wazi masaa yote, siku Saba katika juma hasa Vijijini penye wananchi Wengi ili kuhudumia Wanachi.

Rai hiyo ameitoa Mhe. Mhandisi Evarist Ndikilo wakati wa Kikao cha tatu cha nusu mwaka Julai- Desemba 2020 Cha Tathmini ya Mktaba wa Lishe na CHF iliyoboreshwa Mkoa wa Pwani leo Aprili 14, 2021 katika Ukumbi wa Mikutano uliopo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Kibaha

Akizungumza kwenye kikao hicho Ndikilo amesisitiza kuwa "Nchi yetu haijapungukiwa wataalamu, mambo kama haya ya Wataalamu kufunga vituo vya Afya na Zahanati si ya kufumbia macho hata kidogo, ikibainika kituo kimefungwa wahusika wachukuliwe hatua ikiwepo kuachishwa kazi" alisema Ndikilo

Amewataka Viongozi wa Mkoa huo kuwa na utaratibu wa kutembelea Zahanati na Vituo vya Afya na kuchukua hatua pale wanapokuta vituo hivyo vimefungwa, na husababisha wananchi kukosa huduma.

Ndikilo ameeleza Wananchi kufika na kukosa huduma katika Vituo vya Afya na Zahanati kunasababiasha kushusha ari ya Wananchi kujiunga na CHF iliyoboreshwa katika Mkoa huo.

Amewataka Viongozi wa Dini kuhimiza Waumini wao kujiunga na CHF iliyoboreshwa katika Nyumba zao za ibada

Ameeleeza hali ya usajili katika mfuko wa Bima ya afya ya jamii (CHF) iliyoboreshwa hairidhishi ,hadi Machi,2021 ni kaya 10,038 pekee sawa na asilimia 5.1 zimejiunga na mfuko huo kati ya kaya 294,634.

Kuhusu Lishe Ndikilo Ameeleza kwa Mwaka uliopita Mkoa huo ulishika nafasi yaTano Bora katika Mikoa yote, Ameeleza kuwa Lishe Bora Ni kichocheo cha maendeleo endelevu, ametaja hali ya udumavu Mkoa huo ni Asilimia 23.8% ukilinganisha na taifa wa Asilimia 30.1,

Ndikilo amesema Utekelezaji wa Mkataba wa Lishe kwa Mkoa hauridhishi hususani katika kiashiria Cha utoaji wa Fedha kwa ajili ya Utekelezaji wa Shughuli za Lishe. Amewataka Wakurugenzi kutoa Fedha ili Utekelezaji wa Lishe ufanyike.


Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.