• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Ndikilo atoa wito kwa wadau wa Korosho pwani kujenga Maghala ya kisasa

Posted on: October 4th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mh.  Mhandisi Evarist Ndikilo amewataka wadau wote wa korosho wenye uwezo Mkoani hapa kujenga maghala makubwa na ya kisasa kwa ajili ya kuhifadhia korosho.

Wito huo ameutoa wakati akifungua kikao cha wadau wa korosho Mkoa wa Pwani kilichofanyika Wilayani Mkuranga.

Pia ametoa wito maalum kwa Chama cha Ushirika cha Mkoa CORECU kufanyia ukarabati wa maghala yao yaliyopo Kibiti ili yaweze kupewa leseni ili yaweze  kutumika.

Aidha alisema kuwa mpaka sas,a Mkoa kwa kushirikiana na Bodi ya Leseni za maghala umekubaliana kusajili maghala mawili ya kuhifadhia korosho ambapo moja litakuwa Mwanambaya Wilayani Mkuranga ambalo lina uwezo wa kuhifadhi tani 15,000 na lingine lipo kwenye kiwanda cha zamani cha korosho (TANITA) amabalo lina uwezo wa kuhifadhi tani 5,000

 Alifafanua zaidi kuwa ghala la Mwanambaya lililopo Mkuranga litapokea korosho kutoka wilaya za Mkuranga, Mafia, Kibiti na Rufiji na lile la TANITA litapokea korosho kutoka Kibaha, Kibaha Mji, Kisarawe, Bagamoyo na Chalinze.

“Natambua baadhi ya Wilaya zitakuwa mbali na maghala yaliyopatikana lakini kwa mujibu wa mfumo huu hilo siyo tatizo kwa kuwa gharama za usafirishaji zinawekwa kwenye mjengeko wa bei na si gharama ya moja kwa moja kwa chama cha msingi” alisema Ndikilo.

Katika hatua nyingine Mhandisi Ndikilo amekemea vikali  tabia ya baadhi ya watu ambao wataonesha nia ya kutaka kujaribu  au kuonesha nia ya kutaka  kuhujumu mfumo huu wa stakabadhi ghalani kwani Serikali ya Mkoa haitasita kumchukulia hatua kali za kisheria.

Mhandisi Ndikilo aliongezea kwa kusema kuwa mfumo huu wa stakabadhi ghalani katika ukusanyaji na uuzaji wa zao la Korosho ni agizo la kitaifa.

Pia ameongeza kuwa mfumo huu unawawezesha wakulima  kuwa na sauti moja katika katika kupigania haki yao kwenye biashara ya korosho ghafi dhidi ya walanguzi na madalali wao.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.