• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Ndikilo awahimiza wananchi Mkoani Pwani Kupanda miti kwa wingi

Posted on: April 16th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo amewataka  Wanachi Mkoani wa Pwani kupanda Miti kwa wingi  nakuacha kukata miti ovyo  ili kutunza Misitu ya asili.

Rai hiyo ameitoa leo Aprili 16, 2021 wakati wa maadhimisho ya Siku ya Upandaji Miti Kimkoa yaliyofanyika Kijiji Cha Mlingotini Wilayani Bagamoyo.

Akizungumza na Wananchi na Wadau waoshiriki kwenye Maadhimisho hayo Ndikilo ameeleza kuwa Lengo la Mkoa Ni kupanda miti 13,500,000, Amesema kuwa Kwenye msimu huu 2020/21 jumla ya Miche 6,552,254 sawa na asilimia 48.5 itapandwa kwenye Halmashauri zote za Mkoa huo, Ameeleza kuwa kila Halmashauri imepewa Lengo la kupanda Miti 1,500,000 kwa mwaka.

Akieleza umuhimu wa hafla hiyo kufanyika katika kupanda Mikoko 10,000 Kwenye eneo la Mlingotini amesema, wanapanda kuzuia Mawimbi makali, kuwa sehemu ya mazalia ya Samaki, kuzuia Mmonyoko wa udongo, kupata Nguzo na mbao, Ameeleza ataendelea kufuatilia na kuchukua hatua kwa wote wanaoharibu misitu ya mikoko,

Akifafanua kauli mbiu ya mwaka huu ambayo ni panda Miti kwa Uhifadhi wa Mazingira, kwa maendeleo ya Viwanda na kuimarisha Uchumi, Ndikilo amesema

"Wanadamu na Miti tunategemeana, inatupasa kupanda miti bila kujali kuwa nani atakaa au kutumia kivuli na Rasilmali ya Miti hiyo"

Amewataka Wanachi kutumia Nisahati mbadala katika Kupikia ili kupunguza matumizi ya Mkaa na kutunza Mazingira. Amewaeleza kuwa Mkoa huo una kiwanda cha kuzalisha Mitungi ya gesi, hivyo gesi hiyo inapatikana kwa urahisi.

Amezielekeza Taasisi zote za Umma na Binafsi kupanda Miti kwenye maeneo yao, ametaja kutofurahishwa na kitendo cha Ujenzi wa Shule na Vituo vya Afya mpka vinakamilia Bila ya kupanda Mti hata Mmoja. Amesema Kama Taasisi za Umma na Binafsi zitafanya hivo Mkoa utaweza kufikia lengo Upandaji Miti 1,500,000. Ameitaka Sekretarieti ya Mkoa kufanya ufuatiliaji wa Maelekezo yake na kukagua Miti itakayopandwa kuhakikisha inatunzwa hadi kukomaa.

Amepongeza Wakala wa Huduma za Misitu TFS kwa kuzalisha miche mingi 570,000 Ambayo itapandwa kwenye Mkoa wetu. Amewataka TFS kuendelea kufanya Doria ili kulinda Misitu yetu, amewasistiza Wananchi kupitia BMU kutoa ushirikiano katika kulinda Misitu hiyo.

Amewaonya Wenyeviti wa Vijiji kuacha tabia ya kufanya misitu kuwa sehemu yao ya kujipatia kipato kwa kuuza na kuruhusu uvamizi wa mifugo, Mkazi na Uchimbaji wa Mchanga, kwenye maeneo ya misitu. Ametoa Maelekezo kwa Wanachi wote waliovamia Msitu wa Ruvu Kaskazini kuondoka mara moja kabala ya Operesheni ya kuwaondoa haijaanza.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.