• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Ndikilo awataka wananchi wa Kisarawe kuulinda Msitu wa Kazimzumbwi.

Posted on: April 6th, 2018

“Hakuna Mwananchi yeyote atakayethubutu kuingia  katika msitu huu na kufanya uharibifu,na msitu huu tutaulinda kwa maslahi mapana ya nchi”

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Mhandisi Evarist Ndikilo wakati akihutubia katika maadhimisho ya siku ya upandaji miti kitaifa  mwishoni mwa wiki hii ambapo  Mkoa uliadhimisha siku hiyo kwa kupanda miti 2000 katika msitu wa Kazimzumbwi uliopo Wilayani Kisarawe

Aidha Mkuu wa Mkoa aliwataka wananchi kutunza misitu na kusisitiza kuwa serikali haitakuwa na mchezo kwa yeyote atakayebainika kuharibu misitu huo  kwa kufanya shughuli za kibinadamu ikiwa pamoja uchomaji mkaa na  kufyeka msitu.

Pia Mhandisi Ndikilo aliwataka wananchi kulinda misitu kwa faida yao wenyewe kwani misitu ina faida nyingi kwa binadamu na kuwa ikutunzwa vizuri bila kuvamiwa ni chanzo kikubwa cha hewa ya oxigeni lakini pia itasaidia kurekebisha mabadiliko ya tabia ya nchi.

Akisoma risala katika maadhimisho hayo afisa mali asili Mkoa wa Pwani Felix Shayo alisema Mkoa wa Pwani una upungufu wa watumishi wa sekta ya maliasili 95 , hali iliyoelezwa kukwamisha juhudi za kuzuia uharibifu na utoroshaji wa mazao ya misitu.

Shayo alisema Ili kukadhibiti hali hayo ya uharibifu wa misitu Mkoa unahitaji jumla ya watumishi wa sekta hiyo wapatao 156 na waliopo ni 58.

Alisema uhaba wa watumishi hao umepelekea kukwamisha shughuli mbalimbali za misitu na hivyo misitu kuwa hatarini kuvamiwa na mazao yake kuchukuliwa kiholela.

Katika hatua nyingine , Shayo aliiomba serikali kuongeza watumishi hao Mkoani humo ili wasaidie kusimamia na kudhibiti rasilimali za misitu.

Aidha aliishauri Serikali kuangalia uwezekano wa kutumia nishati mbadala ili kuacha ama kupunguza matumizi ya mkaa ambao ndio chanzo kikuu cha uharibifu wa misitu Mkoani humo

Kauli mbiu mwaka huu ni Tanzania ya Kijani inawezekana, Panda Miti kwa maendeleo ya Viwanda.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.