• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Ndikilo awataka watumishi wa Halmashauri Pwani Kujituma

Posted on: December 12th, 2019

Mkuu wa wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo amewataka  watumishi wa halmashauri  za mkoani hapa kuwa na ushirikiano katika  shughuli  mbalimbali za kiserikali  ili kuondoa  changamoto  zilizopo.

Wito huo ulitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Mhandisi Evarist Ndikilo Mjini Kibaha wakati wa mjadala ulihohusu hali ya elimu katika kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa mwanzoni mwa wiki.

Alisema kuwa zipo Changamoto katika Sekta ya Elimu ambazo zinahitaji ushirikiano wa watumishi wa sekta hiyo na wa sekta zingine ikiwa ni pamoja na wadau mbalimbali ili kukabiliana nazo na akaserma kuwa kila mmoja anatakiwa kutimiza  wajibu  wake kwa ufanisi katika sekta anayotumikia.

Mhandisi Ndikilo alipongeza uongozi wa Wilaya ya Kisarawe kwa kampeni ya tokomeza ziro na wa Wilaya ya Kibaha kwa kampeni ya elimisha Kibaha zinazoendelea katika Wilaya hizo kuwa ziimeleta mabadiliko makubwa katika kuboresha elimu kwa shule za msingi na Sekonadari.

Alisema kuwa kampeni ya elimisha Kibaha ambayo imeanzishwa na mkuu wa Wilaya hiyo mhe. Assumpter Mshama imekuwa Mkombozi kupunguza uhaba wa vyumba vya Madarasa.

“Kampeni za Elimu  zinasaidia  kuondoa  changamoto  za Elimu, nimpongeze mama Mshama  hadi  sasa vyumba 40 vinajengwa  kutokana na kampeni aliyoanzisha  na kisarawe napo kuna wale watoto wanaoshindwa  kuanza kidato cha kwanza sasa  changamoto hizo zitamalizwa  taratibu “ alisema Mhandisi  Ndikilo.

Aidha alitoa wito  kwa  kila Halmashauri kuhakikisha wanafunzi  wote  waliopangiwa kidato cha kwanza wamepata nafasi ifikapo mwezi june 2020.

Katika hatua nyingine Mhandisi Ndikilo alitoa agizo kwa Wakurugenzi kuhakikisha vituo vya afya vilivyojengwa  kwenye maeneo yao vinaanza kufanya kazi.

Katika kikao hicho Ndikilo aliwataka watumishi kufuata maadili ikiwa ni pamoja na kusoma alama za nyakati kwa kufuata kile kinachotakiwa.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77