• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Serikali Kusimamia maamuzi ya Mahakama migogoro ya ardhi Pwani: RC Kunenge.

Posted on: February 24th, 2023

Mwenyekiti wa kamati ya Usalama mkoa wa Pwani, Alhaj Abubakari Kunenge amesema Serikali inaendelea kusimamia Maamuzi ya hukumu za mahakama katika migogoro ya ardhi kata ya Mapinga.

Amewashauri kuwa pande zote mbili ambazo ni walioshindwa na walioshinda mashauri yao kuona kama inafaa waketi meza moja ili kufanya maridhiano.

Akitoa msimamo wa Serikali na kamati iliyoundwa na Waziri wa ardhi Angelina Mabula kushughulikia migogoro iliyokithiri katika kata ya Mapinga, Kunenge amesema kuwa hawawezi kuipinga mahakama kutokana na maamuzi iliyoyafanya.

Akiwa kwenye utekelezaji eneo la Kiaraka, aliwaasa zaidi ya wananchi 250 wanaodaiwa kuingilia eneo halali la Balozi Saimon Mlai waondoke kama Maamuzi ya Mahakama Kuu ilivyoelekeza.

Ameeleza kuwa Mahakama ilituma dalali kufika kwenye eneo hilo na kuwaondoa wananchi wavamizi na kuwa eneo ni mali halali ya Balozi Mlai ambaye ndiye mwenye hati halali ambayo haijabatilishwa.

Katika eneo hilo, mwakilishi wa wananchi Jeremiah Mtema alisema kuwa wapo tayari kwa maridhiano kati yao na wenye eneo hilo ili maisha yaendelee.

Kufuatia kauli hiyo, Kunenge ametoa wiki kwa wananchi kuonana na mwenye eneo kuangalia namna ya kumaliza tatizo hilo lakini ambae hataki maridhiano aondoke kupisha eneo.

Vile vile Kunenge alifika kwenye eneo lenye mgogoro baina ya taasisi ya Kijiko na wananchi 15 wanaodaiwa kuvamia eneo hilo, ambapo amewataka wananchi waache kuendeleza chochote cha maendeleo na kwamba naye Kijiko asiwabughudhi wananchi hadi hapo Suluhu ya mahakama au maridhiano itakapokamilika.

"Katika mgogoro huu, hakuna mwenye haki hadi sasa, hivyo ushauri ni kwenda kufungua kesi ili haki itendeke, pia wanaweza kukaa meza moja ili kuweka maridhiano ambapo upande wa Serikali kutakuwa na watalaam ambao watasimamia, hatimae mgogoro huu uishe na kila mmoja aendelee na maendeleo yake," alisisitiza.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.