• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Serikali Kusimamia maamuzi ya Mahakama migogoro ya ardhi Pwani: RC Kunenge.

Posted on: February 24th, 2023

Mwenyekiti wa kamati ya Usalama mkoa wa Pwani, Alhaj Abubakari Kunenge amesema Serikali inaendelea kusimamia Maamuzi ya hukumu za mahakama katika migogoro ya ardhi kata ya Mapinga.

Amewashauri kuwa pande zote mbili ambazo ni walioshindwa na walioshinda mashauri yao kuona kama inafaa waketi meza moja ili kufanya maridhiano.

Akitoa msimamo wa Serikali na kamati iliyoundwa na Waziri wa ardhi Angelina Mabula kushughulikia migogoro iliyokithiri katika kata ya Mapinga, Kunenge amesema kuwa hawawezi kuipinga mahakama kutokana na maamuzi iliyoyafanya.

Akiwa kwenye utekelezaji eneo la Kiaraka, aliwaasa zaidi ya wananchi 250 wanaodaiwa kuingilia eneo halali la Balozi Saimon Mlai waondoke kama Maamuzi ya Mahakama Kuu ilivyoelekeza.

Ameeleza kuwa Mahakama ilituma dalali kufika kwenye eneo hilo na kuwaondoa wananchi wavamizi na kuwa eneo ni mali halali ya Balozi Mlai ambaye ndiye mwenye hati halali ambayo haijabatilishwa.

Katika eneo hilo, mwakilishi wa wananchi Jeremiah Mtema alisema kuwa wapo tayari kwa maridhiano kati yao na wenye eneo hilo ili maisha yaendelee.

Kufuatia kauli hiyo, Kunenge ametoa wiki kwa wananchi kuonana na mwenye eneo kuangalia namna ya kumaliza tatizo hilo lakini ambae hataki maridhiano aondoke kupisha eneo.

Vile vile Kunenge alifika kwenye eneo lenye mgogoro baina ya taasisi ya Kijiko na wananchi 15 wanaodaiwa kuvamia eneo hilo, ambapo amewataka wananchi waache kuendeleza chochote cha maendeleo na kwamba naye Kijiko asiwabughudhi wananchi hadi hapo Suluhu ya mahakama au maridhiano itakapokamilika.

"Katika mgogoro huu, hakuna mwenye haki hadi sasa, hivyo ushauri ni kwenda kufungua kesi ili haki itendeke, pia wanaweza kukaa meza moja ili kuweka maridhiano ambapo upande wa Serikali kutakuwa na watalaam ambao watasimamia, hatimae mgogoro huu uishe na kila mmoja aendelee na maendeleo yake," alisisitiza.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Madiwani wa Kibaha na Chalinze watakiwa Kuwa Mabalozi wa Usimamizi Bora wa Miradi ya Maendeleo

    January 15, 2026
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Afungua mafumzo ya mfumo wa O&D Ulioboreshwa

    January 15, 2026
  • RC Kunenge Atoa Muongozo wa Utekelezaji wa Shughuli za Serikali Mkoani Pwani

    January 09, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200