• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Serikali kuzipatia fidia halmashauri Pwani utoaji malighafi

Posted on: October 12th, 2023

Serikali imeahidi kuzipatia fidia halmashauri zote za mkoa wa Pwani ambazo zinatoa malighafi yake kwa ajili ya ujenzi wa reli ya kisasa SGR unaondelea.

Hayo yameelezwa na Mkuu wa mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge octoba 12, 2023 wakati wa kikao cha Bodi ya Barabara kilichofanyika ukumbi wa mkoa huo ambacho kimewahusisha wakuu wote wa wilaya, wenyeviti wa halmashauri, wakurugenzi wa halmshauri, wataalam na wakuu wa Idara.

Amesema kauli hiyo ilitolewa hivi karibuni na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye aliziahidi halmshauri zote kupata fedha kutokana na kutoa malighafi zinazotumika katika ujenzi wa reli ya kisasa.

Malighafi hizo zinatoka katika halmashauri kama vile Chalinze na Rufiji na kwamba viongozi wa maeneo husika watajulishwa ni lini fedha hizo watazipata.

“Pamoja na jitihada zinazofanywa na serikali kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo, lakini pia tunaishukuru kwa sababu kwa mkoa wetu tumepata bahati, hivi karibuni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametuahidi kutupa fidia ya fedha kwa sababu ya kutoa malighafi ambazo zinaendelea kutumika kwenye ujenzi wa reli ya kisasa,” amesema Kunenge.

Sambamba na hilo, pia amemtaka Meneja wa Wakala wa barabara mijini na vijijini TARURA kuhakikisha ujenzi wa miradi yote ya barabara inakamilika kwa wakati ili kuwasaidia wananchi msimu wa mvua

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Kunenge Ashiriki Kupiga Kura , Awataka Wananchi wa Pwani kuendelea kujitokeza kwa wingi

    October 29, 2025
  • Dumisheni Umoja na Utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu- Kamati ya Amani Pwani

    October 28, 2025
  • Vituo 3,941 vya kupiga kura vyaandaliwa Mkoani Pwani Kuelekea Uchaguzi mkuu

    October 27, 2025
  • RC Kunenge akabidhi Vitendea kazi vya Zaid ya Sh. Bilion 7 kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Pwani

    October 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • DORA77
  • KOI200
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200