• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Serikali ya Marekani yakabidhi jengo ,Vifaa kwa Zahanati ya Mwenda pole

Posted on: February 14th, 2024

Serikali ya watu wa Marekani imekabidhi jengo la kutoa tiba na matunzo ya VVU kwa Zahanati ya Mwendapole Wilayani Kibaha litakalotumika kuboresha utolewaji huduma jumuishi za kinga, tiba na matunzo ya VVU.

Pamoja na jengo hilo, zahanati hiyo pia imekabidhiwa vifaa vya kuzuia na kutibu dalili za awali ya Saratani ya Mlango wa Kizazi kwa wanawake Mkoa Pwani.

Akizungumza katika makabidhiano hayo ambayo yamefanyika leo Februari 15, 2024, Katibu Tawala Mkoa wa Pwani ambaye pia ni Skauti Mkuu wa Tanzania Rashid mchatta amesema Serikali ya Watu wa Marekani imekuwa ikifanya kazi kwa Pamoja na Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania katika juhudi za utoaji huduma na kinga, tiba na matunzo kwa watu wenye VVU na UKIMWI katika Mkoa wa Pwani.

Amesema kuwa kutokana na mpango wa Dharura wa Rais wa marekani wa kupambana na UKIMWI (PEPFAR), kupitia Shirika la US CDC huduma zimefika kila kona ya Tanzania ikiwa ni pamoja na Mkoa wa Pwani.

"Serikali kwa kushirikiana na wenzetu wa US CDC kupitia THPS, imeweka nguvu kubwa sana kwenye mapambano dhidi ya VVU na UKIMWI kwa kutumia mbinu mbalimbali ikiwa na lengo la kuhakikisha kuwa wale ambao hawajaambukizwa hawaambukizwi, na wale ambao tayari wanaishi na VVU wanapata huduma na matunzo ili waweze kuishi Maisha yao ya kawaida na wasiambukize wengine," amesema Mchatta.

Ameendelea kusema kuwa hadi kufika mwezi Desemba 2023, Mkoa wa Pwani ulikuwa na watu 45,300 wanaopokea huduma katika vituo 85 vinavyohudumiwa na CDC kupitia THPS na akahadhariaha "Kwa bahati mbaya maambukizi mapya bado yapo na ni mengi katika mkoa wetu, wastani wa watu 400 huambukizwa VVU kila mwezi, hii sio taarifa nzuri kabisa, tujitahidi kupambana nayo."

Jengo la kutolea huduma za tiba na matunzo lililokabidhiwa lina thamani ya shilingi milioni 219.0, huku thamani ya vitu vingine vikiwa: samani za Ofisi shilingi milioni 273.6, Vishikwambi 125 kwa ajili ya kusaidia katika huduma za kuzuia maambukizi ya VVU kutoka kwa mama Kwenda kwa mtoto (PMTCT) shilingi milioni 90.7, mashine tano za thermocogulation zenye shilingi million 27 na mashine sita za cryotherapy kwa ajili ya matibabu ya saratani ya shingo ya kizazi zikiwa na thamani ya shilingi million 51.

Akizungumzia hali ya matunzo ya vitu hivyo, Mchatta amewataka watoa huduma za Afya kuzingatia usimamizi bora wa samani zilizoletwa na kuwasisitiza kuwa zitumike kwa malengo yaliyokusudiwa na zitakuwa chini ya usimamizi wa mganga mfawidhi wa

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.