• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Serikali yawasihi wawekezaji kuwekeza Mafia

Posted on: September 29th, 2023


Serikali imewasihi wawekezaji mbalimbali kuwekeza kisiwa cha Mafia  Mkoani Pwani ili kuweka kuinua sekta ya uwekezaji na utalii sanjali na kupandisha pato la kisiwa hicho.

Akifunga kongamano la utalii na uwekezaji Mafia, Mkoani Pwani Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi ,Agnes Kisaka Meena alieleza Mafia ni kivutio cha uwekezaji wa uchumi wa bluu na mazalia ya samaki Duniani hivyo Serikali itaendelea kutangaza vivutio vilivyopo ili iweze kujitangaza zaidi ulimwenguni.

"Tunaendelea kuinadi Mafia,ili kuvutia wawekezaji na kuongeza watalii nchini na hili limetiwa nguvu kubwa na filamu ya royal tour iliyoongozwa na Rais wetu Samia Suluhu Hassan"na imani yetu wawekezaji mbalimbali na watalii wataendelea kuongezeka"

Vilevile amepongeza wilaya kwa kuandaa kongamano hilo ,ambalo limefanikiwa kwa asilimia 100.

Akitoa sifa kwa wawekezaji wa ndani amempongeza mwekezaji mkubwa Mafia Kassam ambae amethubutu kujenga mahoteli ya kutosha.

Awali mkuu wa wilaya ya Mafia Zephania Sumaye alieleza , asilimia 70 ya mapato halmashauri ya Mafia inategemea utalii na uchumi wa bluu.

Alieleza, Mafia ni kivutio cha uwekezaji katika uchumi wa bluu, ikiwemo uvuvi endelevu, ufugaji wa viumbe maji, viumbe bahari,utalii na usafirishaji baharini.

Zephania alieleza,wanaendelea kuboresha miundombinu ya uwekezaji katika miundombinu mbalimbali, kuitangaza Mafia ambapo wamejipanga kutenga maeneo na kongani ili kuvutia wawekezaji.





SERIKALI imewasihi wawekezaji mbalimbali kuwekeza kisiwa cha Mafia , Mkoani Pwani ili kuweka kuinua sekta ya uwekezaji na utalii sanjali na kupandisha pato la kisiwa hicho.


Akifunga kongamano la utalii na uwekezaji Mafia, Mkoani Pwani Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi ,Agnes Kisaka Meena alieleza Mafia ni kivutio cha uwekezaji wa uchumi wa bluu na mazalia ya samaki Duniani hivyo Serikali itaendelea kutangaza vivutio vilivyopo ili iweze kujitangaza zaidi ulimwenguni.


"Tunaendelea kuinadi Mafia,ili kuvutia wawekezaji na kuongeza watalii nchini na hili limetiwa nguvu kubwa na filamu ya royal tour iliyoongozwa na Rais wetu Samia Suluhu Hassan"na imani yetu wawekezaji mbalimbali na watalii wataendelea kuongezeka"


Vilevile amepongeza wilaya kwa kuandaa kongamano hilo ,ambalo limefanikiwa kwa asilimia 100.


Akitoa sifa kwa wawekezaji wa ndani amempongeza mwekezaji mkubwa Mafia Kassam ambae amethubutu kujenga mahoteli ya kutosha.


Awali mkuu wa wilaya ya Mafia Zephania Sumaye alieleza , asilimia 70 ya mapato halmashauri ya Mafia inategemea utalii na uchumi wa bluu.


Alieleza, Mafia ni kivutio cha uwekezaji katika uchumi wa bluu, ikiwemo uvuvi endelevu, ufugaji wa viumbe maji, viumbe bahari,utalii na usafirishaji baharini.


Zephania alieleza,wanaendelea kuboresha miundombinu ya uwekezaji katika miundombinu mbalimbali, kuitangaza Mafia ambapo wamejipanga kutenga maeneo na kongani ili kuvutia wawekezaji.












Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.