• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

"Sitaki kusikia mtu analeta siasa katika suala la Sensa 'Anne Makinda

Posted on: September 1st, 2021

Kamishna wa Sensa Tanzania Bara Anne Makinda,amewapiga marufuku baadhi ya wananchi na viongozi mbalimbali wanaohusisha suala la Sensa na mambo ya kisiasa kuwa waache maramoja.

Amesema ,Sensa inafanyika kwa ajili ya maendeleo ya Taifa ambayo itasaidia Serikali kutoa huduma za kijamii kwa uhakika kulingana na idadi ya watu wake na kusema Sensa haina mahusiano na siasa.

Makinda,ametoa kauli hiyo leo wakati akizungumza na wananchi wa Mtaa wa Muheza uliopo katika Halmashauri ya Mji wa Kibaha ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha Wananchi kujitokeza katika Sensa ya majaribio ya mwaka huu.

Amesema ,hataki kusikia mtu analeta siasa katika suala la Sensa na wala lisiwe suala la madhehebu ya dini na kusema Sensa ni suala la maendeleo la Taifa na wananchi wake na endapo mtu ataingiza siasa lazima sheria itachukua mkondo.

Makinda,amesema kuwa Sensa ya majaribio itafanyika Septemba 11 na kwa nchi nzima imepangwa kufanyika katika vituo 13 ikiwemo Mtaa wa Muheza Kibaha.

Amewataka wananchi hao waache kuleta ujanja wa kukwepa kuhesabiwa na badala yake wajitokeze kutoa ushirikiano kwa makalani wa Sensa na kutoa taarifa za ukweli kwa manufaa ya Taifa.

"Nimekuja hapa Muheza kwa ajili ya kuwahamasisha wananchi kujitokeza katika zoezi la Sensa ya majaribio itakayofanyika Septemba 10 kuamkia Septemba 11 ,kwahiyo nawaomba wote mjitokeze," alisema Makinda

Makinda,amesema Sensa itakayofanyika mwaka huu imeboreshwa zaidi na itafanyika kisasa kuanzia ngazi ya Kitongoji kwa hiyo ni wajibu wa kila mwananchi kutambua umuhimu wa Sensa .

Aidha ,Makinda amesema Sensa ya majaribio itawahusisha watu wote watakaolala usiku wa tarehe 10 kuamkia tarehe 11 Septemba na kila mtu atahesabiwa kulingana na maeneo aliyoamkia.

Makinda,ameongeza kuwa watakaohesabiwa mwaka huu katika Sensa ya majaribio na mwakani watahesabiwa kwakuwa lengo ni kupata takwimu sahihi na Sensa ya mwaka huu ni sehemu ya maandalizi ya Sensa ya mwaka 2022.

Kwa upande wake afisa wa Sensa Taifa Said Ameir,akiwa katika mkutano huo amesema wananchi wasiogope kuhesabiwa kwakuwa taarifa watakazozitoa ni siri na zitakwenda kutumika kwa ajili ya maendeleo ya Taifa na sio jambo lingine.

Ameir,amesema kuwa kama itabainika karani ametoa siri za mwananchi atachukuliwa hatua kwakuwa kitendo hicho kitakuwa ni cha uvunjifu wa maadili ya kazi.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77