• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Slaa awataka Viongozi wa Vijiji kuzingatia Sheria ya ugawaji wa Ardhi.

Posted on: July 2nd, 2024

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amewaelekeza viongozi wa Vijiji kuzingatia Sheria namba 5 ya ardhi katika ugawaji wa maeneo Ili kupunguza migogoro ya mara kwa mara.

Silaa ameyasema hayo Julai 2 alipofanya ziara katika Halmashauri ya Chalinze na Kibaha kutembelea maeneo yenye migogoro na kuzungumza na wananchi.

Katika Kijiji cha Chamakweza Halmashauri ya Chalinze wananchi walilalamikia kuwepo kwa mgogoro wa zaidi ya miaka 20 kati ya wakulima na wafugaji ambao imesababisha kila upande kushindwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo.

Sambamba na hayo pia walimueleza Waziri huyo uwepo wa uuzaji wa maeneo kiholela bila kushirikisha wananchi jambo ambalo limekuwa chanzo maelewano hafifu kati ya pande hizo mbili.

Kutokana na hali hiyo Waziri Silaa wanaonunua ardhi kufuata taratibu kwa kushirikisha wataalamui wa ardhi ngazi ya Halmashauri husika.

Ameahidi kuunda time kwa ajili ya kuhakikisha mipaka na kufuatilia uhalali wa wananchi waliohamishwa kwenye baadhi ya Vijiji katika oparesheni iliyofanyika 1974.

Mbali ya kuunda timu Waziri huyo amesitisha uendelezaji wa eneo katia Kijiji cha Kikongo ambalo wananchi 214 wana mgogoro wa muda mrefu kati yao na Mwekezaji wa Kampuni ya Trans Continental.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge akizungumza katika nyakati tofauti kwenye mikutano hiyo amesema yeyote atakayebainika kuvunja Sheria hatua zitachukuliwa dhidi yake.

Pia Mkuu huyo wa Mkoa amesitisha uuzaji wa maeneo katika Kijiji cha Chamakweza kupisha timu inayoundwa na Waziri Silaa itakayofanya kazi kwenye maeneo ya mgogoro kijijini hapo.

Waziri Silaa amekutana na wananchi wa Kijiji Cha Chamakweza na Pingo katika kitongoji cha Mbala pamoja na wananchi wa Kikongo Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha.

Migogoro iliyowasilishwa kwa Waziri huyo ni pamoja na muongiloano wa wananchi Jamii ya wakulima na wafugaji na pia uwepo wa wananchi walionunua ardhi bila kufuata Sheria na taratibu.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.