• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Ufafanuzi wa Bomoa Bomoa Kibaha

Posted on: March 24th, 2017

MHE. MKUU WA MKOA WA PWANI ATOA UFAFANUZI JUU YA MITA 120 ZA HIFADHI YA BARABARA YA MOROGORO

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Mhandisi Evarist W. Ndikillo amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Bibi Jenipher Omolo kuwashirikisha wananchi wa Mji wa Kibaha katika masuala yote ya maendeleo ya Mji huo.

Kauli hiyo aliitoa katika Mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Bwawani Mailimoja wakati akitoa ufafanuzi wa tafsiri ya hifadhi ya Barabara ya Morogoro KM 16 kuanzia MBEZI  - DAR ES SALAAM hadi KM 37 TAMCO - KIBAHA ambayo ilikuwa na utata ambapo wananchi walikuwa wakidai kutoshirikishwa.

Akifafanua suala hilo   alisema kwamba  hifadhi ya Barabara hiyo  ya Morogoro (KM 16 kuanzia MBEZI  - DAR ES SALAAM hadi KM 37 TAMCO – KIBAHA) ni Mita 120 ambapo kwa upande wa kulia ni Mita 60 na upande wa kushoto ni Mita 60 kutoka katikati ya barabara ambapo hapo awali ilikuwa ni Mita 240 ikiwa kushoto Mita 120 na kulia Mita 120, jambo ambalo lilizua malalamiko kwa wakazi na wafanyabiashara wa eneo hilo.

Aidha ameeleza kuwa Serikali ya Mkoa ilijadili suala hili kwa kina,na kuona kwamba zile Mita 240 za mwanzo zilikuwa kubwa sana hivyo ikamuandikia Waziri mwenye dhamana ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, ndipo likaja jibu kuwa upana wa hifadhi ya Barabara itakuwa ni Mita 120 tu na hakutakuwa na mabadiliko.

Pia Mhe. Mkuu wa Mkoa aliwaambia wakazi na wafanyabiashara wa Mailimoja kuwa ile tarehe (23/11/2016) iliyoweka awali ya kubomoa nyumba zilizo kwenye hifadhi ya barabara hiyo  ya Morogoro (KM 16 kuanzia MBEZI  - DAR ES SALAAM hadi KM 37 TAMCO – KIBAHA) ameisitisha kutokana na wananchi kutojiandaa hivyo ameongeza muda wa miezi miwili hadi tarehe 23/01/2017  ili wananchi waweze kujiandaa na kuboamoa nyumba hizo.

Hata hivyo Mhe. Mkuu wa Mkoa  amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha kuanza mara moja ujenzi wa soko katika eneo la Loliondo, kabla ya ubomoaji wa soko la maili moja  haujafanyika kwasababu ya eneo hilo la soko(Mailimoja) lipo ndani ya hifadhi ya Barabara.

Kwa upande wa  Kituo cha Mabasi,  ameeleza kwamba Kituo cha Mabasi  cha Mailimoja kitabakia kuwa palepale mpaka Kituo kipya kilichoandaliwa kitakapomalizika kujengwa,na kuongezea kuwa Kituo hicho cha Mabasi kinachotumika sasa, kitatumika kwa mabasi makubwa yaendayo mikoani tu, na yale mabasi madogo ya kwenda Kongowe, Mlandizi, Chalinze, Morogoro, Msata na Mkata yatakwenda sehemu iliyoandaliwa (Loliondo) pamoja na magari ya mizigo

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.