• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Vyombo vya Habri vya kijamii vyahimizwa kuelimisha jamii kuhusu huduma ya M-mama

Posted on: November 7th, 2024

Vyombo vya habari vya kijamii vimehimizwa kuendelea kutoa elimu kwa jamii kuhusu huduma ya M-Mama na matumizi sahihi ya namba ya dharura 115, baada ya ripoti kuonyesha kwamba baadhi ya wananchi wamekuwa wakiitumia namba hiyo kwa matumizi yasiyokusudiwa. 

Akizungumza kwa niaba ya Mganga Mkuu wa Mkoa, Dkt. Kusirye Ukio, Afisa Afya wa Mkoa wa Pwani, David Vuo, alitoa wito huo tarehe 6 Novemba 2024, katika kikao kazi kilichoandaliwa na M-Mama na kuhusisha wajumbe kutoka mikoa sita ambao ni amaafisa Habari wa Mikoa.

Alieleza kuwa kikao hicho kililenga kuandaa mikakati ya jinsi vyombo vya habari vya kijamii, kwa kushirikiana na waratibu wa huduma ya M-Mama katika mikoa na wilaya, vitakavyoweza kutoa elimu kwa wananchi kuhusu huduma hiyo na matumizi sahihi ya namba 115.“Tunapomaliza kikao hiki, kila Mratibu atakuwa na jukumu la utekelezaji.

 Niombe tuendelee kufanyia kazi kama tulivyokubaliana,” alisema Vuo.Huduma ya M-Mama ni huduma ya dharura inayotolewa kwa wajawazito, wanawake waliojifungua (chini ya siku 42), na watoto wachanga (chini ya siku 28) wanaohitaji msaada wa haraka wa kiafya. 

Huduma hii inapatikana bure kwa kupiga namba 115 kutoka mitandao yote ya simu, na inaweza kufikiwa muda wowote na mahali popote nchini Tanzania Bara na Zanzibar.


Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Kunenge Ashiriki Kupiga Kura , Awataka Wananchi wa Pwani kuendelea kujitokeza kwa wingi

    October 29, 2025
  • Dumisheni Umoja na Utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu- Kamati ya Amani Pwani

    October 28, 2025
  • Vituo 3,941 vya kupiga kura vyaandaliwa Mkoani Pwani Kuelekea Uchaguzi mkuu

    October 27, 2025
  • RC Kunenge akabidhi Vitendea kazi vya Zaid ya Sh. Bilion 7 kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Pwani

    October 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • DORA77
  • KOI200
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200