• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Wakazi wa Kisarawe walilia Kituo Kipya cha Mabasi

Posted on: February 12th, 2019

Wakazi wa Wilaya ya Kisarawe Mkoani Pwani wameiomba Halmashauri ya Wilaya hiyo kukamilisha ujenzi wa kituo kipya cha mabasi kinachojengwa na Serikali kwa lengo mahususi la kuvutia Mji wa Kisarawe, kukua kibiashara na kiuchumi.

Hayo wameyasema wakati Mkuu wa Mkoa wa Pwani  Mhe.  Mhandisi Evarist Ndikilo alipofanya ziara ya ukaguzi wa Miradi ya maendeleo Wilayani humo , na kukagua barabara ya Chole , Vikumburu pamoja na ujenzi wa kituo hicho.

Aidha Diwani wa kata ya Kisarawe Abel  Mudo amesema kuwa, kukwama kwa kituo hicho kunasababisha adha kwa abiria wanaotumia kituo hicho kusafiri kwani kilichopo ni kidogo na hakina paa la kuzuia abiria kunyeshewa na mvua na pia kudumaza ukuaji wa Mji huo.

Kwa upande wake mkurugenzi  wa Halmashauri ya Wilaya hiyo Musa Gama amesema  ujenzi wa kituo hicho unagharimu  jumla ya shilingi milioni 219 lakini mpaka sasa mradi  unasuasua  kutokana na ukosefu wa fedha.

Akizungumza mara baada ya kukagua kituo hicho Mkuu wa Mkoa  wa Pwani Mhe. Mhandisin Evarist Ndikilo ameiagiza Halmashauri hiyo kukamilisha haraka mradi huo ili uweze kuwasaidia wananchi kama Serikali inavyokusudia.

Aidha Mhandisi Ndikilo amewapongeza wakala  wa Barabara Mijini na Vijijni TARURA  kwa kuweza kuunganisha mtandao wa barabara Wilayani humo.

“Napenda kuwapokeza TARURA kwa kweli  kazi  mmeifanya , kwani ni kipindi kifupi sana tokea muanzishwe lakini mmefanya mambo makubwa sana kwani miundo mbinu ya barabara inaridhisha na inaendanana na thamani ya Fedha kweli mnahitaji  pongezi “ alisema  Mhandisi Ndikilo.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RAS Pwani asisitiza Ushirikiano Walimu, Wazazi shuleni

    March 06, 2023
  • RC Kunenge atahadharisha Kongani SINOTAN Kutokwamishwa

    March 06, 2023
  • RC Kunenenge aelekeza TEMESA kuwasilisha Mpango matengenezo kivuko Mafia

    March 03, 2023
  • Rais Dkt Samia atengua umiliki Shamba namba 934 Mapinga Bagamoyo

    February 27, 2023
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.