• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Wanaowapa wanafunzi mimba lazima wafikishwa kwenye vyombo vya Dola:RC Ndikilo

Posted on: January 11th, 2019

Mkuu wa mkoa wa Pwani mhandisi Evarist Ndikilo amemtaka kamanda wa Polisi kwa kushirikiana na Wakuu wa Wilaya za mkoa huo kuhakikisha kua  wale wanaowapa mimba wanafunzi wanachukuliwa hatua kali  za kisheria.

Mhandisi Ndikilo alitoa agizo hilo wakati wa ufunguzi wa kikao cha kamati ya ushauri ya Mkoa kilichofanyikja kwenye ukumbi wa Ofisi  mkuu wa Mkoa Mjinini Kibaha  na kuhudhuria na viongozi mbalimbali wakiwemo Wakuu wa Wilaya.

Mhandisi Ndikilo alisema kuwa , takwimu za mimba zinasikitisha huku wanaochukuliwa hatua za kisheria wakiwa wachache ukilinganisha na waliopewa mimba.

Pia alisema kuwa , ni marufuku kwa wazazi/walezi ama polisi kumaliza kesi za mimba  kinyemela na badala yake wahusika wachukuliwe hatua za kisheria ili iwe funzo kwa wengine na kukomesha tabia hiyo.

“Hakuna kesi ya mimba inayomalizwa na wazazi au walezi kwa kufanya vikao vyao  wenyewe , wahusika wapatikane na jeshi la polisi liwafikishe mahamakani watuhumiwa na sheria ichukue mkondo waka” alisema Mhandisi  Ndikilo.

Akiwasilisha taarifa ya Elimu , Afisa elimu wa mkoa wa Pwani Abdul Mauld alisema kuwa wanafunzi waliopata mimba na kuacha shule kuanzia January hadi Disemba 2018 katika shule za misingi na sekondari ni 235.

Maulid alisema kati ya wanafunzi ha 80 ni kutoka shule za msingi na 155 wa shule za sekondari  kutoka kila Wilaya za Mkoa huo.

Aidha alieleza katika kikao hicho kuwa Hamashauri  ya Chalinze wanafunzi 17 wa shule za msingi na 29 wa sekondari walipata mimba, katika Wilaya ya Mkuranga ni  wanafunzi 20 wa shule za msingi na 28 Sekondari.

Wilaya nyingine ni kisarawe wanafunzi 12 wa msingi na sekondari 21 , Rufiji wanafunzi 14 na 17 wa sekondari , katika wilaya  ya kibiti waliopata mimba wa shule  za msingi ni 8 na sekondari 28.

Pia aliainisha idadi ya wanafunzi waliokuwa na mimba kutoka mafia  kuwa ni 8  wa sekondari na Wilaya  ya Bagamoyo  6 wa shule zamsingi na 4 wa sekondari Halmashauri ya Mji Kibaha wanafunzi wawili wa msingi na 15 Sekondari na Halmashauri ya Wilaya Kibaha mmoja wa msingi na 5 wa Sekondari.

Suala hili lilileta taharuki kwa wajumbe wa kikao hicho  ambao kwa pamoja walidhamiria  kulivalia njuga na kulipangia mkakati wa kuondoana tatizo la mimba mashuleni.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.