• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Waziri Jafo aiagiza Halmashauri ya Chalinze kutafuta Mkandarasi mwinginine.

Posted on: May 19th, 2020

Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI ,alhaj Selemani Jafo ,hajaridhishwa na ujenzi wa Ofisi ya halmashauri ya Chalinze ambao unasuasua tangu mwaka 2018 na kuagiza mkandarasi ambae ni Wakala wa majengo Tanzania (TBA) kuondolea baada ya mei 31 mwaka huu.

Amemuelekeza mkurugenzi wa halmashauri hiyo na wenzake wahakikishe awamu ya kwanza ya ujenzi inapokwisha mwezi huu watafute mjenzi mwingine wa majengo hayo .

Jafo alitoa kauli hiyo ,wakati alipokwenda kukagua na kujionea kasi ya ujenzi wa majengo ya Ofisi ya halmashauri ya Chalinze na halmashauri ya Wilaya ya Kibaha pamoja na hospital ya wilaya ya halmashauri ya Kibaha iliyopo Mlandizi.

Alisema ,kasi ya ujenzi huo ni mbaya ,haiendani na fedha ya bilioni 1.8 ya awamu ya kwanza ya ujenzi kwani ilipaswa wawe wamemaliza japo ghorofa moja .

"Ujenzi huu upo barabarani hapa ,halileti picha nzuri kabisa ,maana tangu mwaka 2018 ni nondo tu ndio zinachomoza ,majengo hayaishi ,haiwezekani kuendelea na TBA tena "alifafanua Jafo.

" Hatuwezi kuvumilia utaratibu huu wa zimamoto ,inaonekana kazi Leo inafanyika baada ya kujua ujio huu ,haiwezekani sasa miaka miwili ni hadithi tuu ,hatuwezi kwenda na mwenendo huu"

Aidha alikemea tabia ya wataalaamu wa ujenzi ,wahandisi kutokuwa na taarifa sahihi za ujenzi ambapo yeye anapokwenda kukagua na kuuliza maswali anamaanisha na sio kuanza kutafutiwa taarifa.

Nae mbunge wa Chalinze ,Ridhiwani Kikwete alieleza ,amekubaliana na maamuzi hayo kwani walishachoka kuona ujenzi haukamiliki kipindi kirefu sasa .

Ridhiwani alibainisha ifikie hatua tuache kufanya kazi kwa mazoea ,na tuheshimu fedha za umma kwa maslahi ya watanzania.

Meneja TBA mkoa wa Pwani ,Asha Muyanza alikiri kuchelewa kwa jengo ,lakini ni kutokana na ukosefu wa maji na gharama za vifaa ambavyo ilikuwa tofauti ambapo ujenzi ungekamilika mwaka 2018.

Kwa upande wake mhandisi wa halmashauri ya Chalinze, John Chizima alisema ujenzi ulipaswa ukamilike 2018 ,na gharama za ujenzi awamu ya kwanza ni bilioni 1.8 na hadi kukamilika kwa ghorofa tatu itagharimu kiasi cha sh .bilioni 5(tano ).

Baada ya kutembelea ujenzi huo alipata fursa ya kutembelea majengo ya ujenzi wa Ofisi ya halmashauri ya Wilaya ya Kibaha ,Jafo ameridhishwa na ujenzi huo ambao utagharimu zaidi ya sh .bilioni nne .

Jafo alimtaka mkurugenzi wa halmashauri hiyo ,Butamo na timu yake wasimamie miradi ikiwemo mradi wa hospital ya wilaya ukamilike kwa wakati.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.