• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Waziri Mchengerwa awataka Maafisa Habari wa TAMISEMI Kuongeza Uwajibikaji

Posted on: May 23rd, 2025

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa, amewataka Maafisa Habari walioko chini ya TAMISEMI kuongeza uwajibikaji katika kutekeleza majukumu yao ya kutoa taarifa kwa umma.

Mchengerwa alitoa wito huo leo, Mei 23, 2025, wakati akifungua kikao kazi cha siku mbili kinachowakutanisha Maafisa Habari kutoka Mikoa, Halmashauri, na Taasisi mbalimbali chini ya Ofisi ya Rais (ikiwemo DART, TARURA, TSC, Shirika la Elimu Kibaha na Chuo cha Serikali za Mitaa – Hombolo), kinachofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jiji, Mji wa Serikali, Mitumba – Dodoma.

Katika hotuba yake, Waziri Mchengerwa aliwakumbusha Maafisa Habari kuwa wanajukumu la msingi la kuhabarisha umma kuhusu utekelezaji wa shughuli za serikali kwa kutumia mbinu mbalimbali za mawasiliano.

“Serikali imefanya kazi kubwa kwa Watanzania, na kazi hizi zimefanyika katika maeneo yenu—katika mipaka ya Halmashauri, Wilaya na Mikoa yenu. Ninyi ndiyo mnaobeba ujumbe mzito wa sekta zote nchini,” alisema Mchengerwa.

Aidha, alibainisha kuwa msingi wa kuanzishwa kwa TAMISEMI ni kusogeza huduma na mamlaka karibu na wananchi, na kwamba utekelezaji mzuri wa dhamira hiyo unategemea Maafisa Habari kuwa kiungo muhimu cha utoaji taarifa katika maeneo yao.

Waziri Mchengerwa alisisitiza kuwa mafanikio ya utekelezaji wa shughuli za Serikali yametokana kwa kiasi kikubwa na juhudi za Maafisa Habari walioko katika Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa, ambao wamekuwa wakitoa tafsiri sahihi ya shughuli zinazotekelezwa nchini.

Alifafanua kuwa Wizara yake inatekeleza miradi ya maendeleo kwa kutumia zaidi ya asilimia 21 ya bajeti ya nchi, sawa na zaidi ya shilingi trilioni 11. Hivyo, utekelezaji huo unahitaji kuwasilishwa kwa wananchi kupitia mbinu za kisasa za mawasiliano na kwa kuzingatia teknolojia ya sasa.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • slot thailand
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • toto slot
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88
  • aero88