• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Waziri wa Afya azindua Bodi ya Afya na ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Pwani (Tumbi)

Posted on: February 18th, 2025

Waziri wa Afya, Mhe. Jenista Mhagama, leo amezindua Bodi mpya ya Afya na Ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani, Tumbi, na kuagiza bodi hiyo kusimamia vyema utoaji wa huduma za afya kwa wananchi. Pia, aliihimiza kuwa wabunifu katika kukabiliana na changamoto kwa kuzigeuza kuwa fursa zitakazosaidia kuboresha upatikanaji wa huduma bora za afya. Uzinduzi huo umefanyika katika ofisi za Hospitali ya Rufaa ya Tumbi, Kibaha, Mkoa wa Pwani.

Aidha, Mhe. Mhagama alisisitiza umuhimu wa kuimarisha huduma za kibingwa na bobezi, pamoja na usimamizi mzuri wa rasilimali watu ili kuongeza ufanisi na ubora wa huduma.

Tunataka tunapofanya tathmini tuone mabadiliko chanya kwa kutumia changamoto zilizopo kama fursa ya kubuni njia mbalimbali zitakazoboresha huduma za afya katika hospitali zetu. Natarajia Mwenyekiti afanye kazi nzuri ili tuje kujifunza kutoka kwake,” alisema Mhe. Mhagama.

Aliwataka pia wajumbe wa Bodi hiyo, inayoongozwa na Bi. Zalia Mbeo kama Mwenyekiti, kufanya kazi kwa uzalendo, weledi, na ufanisi ili kuongeza tija katika sekta ya afya.

Vilevile, Mhe. Mhagama alitembelea viwanda vya dawa vya Action Medeor, Katwaza Pharmaceutical Industry, na Kairuki Pharmaceutical Industry, ambapo alikiri juhudi kubwa zilizofanyika katika sekta hiyo. Alisisitiza umuhimu wa kuongeza tafiti za kisayansi ili kuzalisha dawa zaidi nchini, hatua itakayopunguza utegemezi wa dawa kutoka nje na kupunguza gharama kwa serikali.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Mhe. Nickson Simon, akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge, alipongeza jitihada za uwekezaji katika sekta ya afya zilizofanywa na serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Alibainisha kuwa kuanzia mwaka wa fedha 2021 hadi sasa, Mkoa wa Pwani umepokea zaidi ya shilingi bilioni 37 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya afya na bilioni 5 kwa ununuzi wa vifaa tiba.

Jitihada hizi zimewezesha ongezeko la vituo vya afya 156, na hivyo kufanya Mkoa wa Pwani kuwa na zaidi ya vituo 500 vya kutolea huduma za afya, hatua inayoboresha upatikanaji wa huduma kwa wananchi.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DC Komba awahimiza Wananchi na Watumishi wa Mkoa wa Pwani Kutekeleza kwa Vitendo maono ya Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan

    May 26, 2025
  • Tangazeni Miradi ya Serikali : Msigwa

    May 24, 2025
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwni afunga rasmi Mashindano ya UMITASHUNTA Nganzi ya Mkoa

    May 24, 2025
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Apokea Majiko ya Gas 200 kwa ajili ya Watumishi Wapya

    May 23, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.