• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Waziri wa Afya azindua Bodi ya Afya na ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Pwani (Tumbi)

Posted on: February 18th, 2025

Waziri wa Afya, Mhe. Jenista Mhagama, leo amezindua Bodi mpya ya Afya na Ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani, Tumbi, na kuagiza bodi hiyo kusimamia vyema utoaji wa huduma za afya kwa wananchi. Pia, aliihimiza kuwa wabunifu katika kukabiliana na changamoto kwa kuzigeuza kuwa fursa zitakazosaidia kuboresha upatikanaji wa huduma bora za afya. Uzinduzi huo umefanyika katika ofisi za Hospitali ya Rufaa ya Tumbi, Kibaha, Mkoa wa Pwani.

Aidha, Mhe. Mhagama alisisitiza umuhimu wa kuimarisha huduma za kibingwa na bobezi, pamoja na usimamizi mzuri wa rasilimali watu ili kuongeza ufanisi na ubora wa huduma.

Tunataka tunapofanya tathmini tuone mabadiliko chanya kwa kutumia changamoto zilizopo kama fursa ya kubuni njia mbalimbali zitakazoboresha huduma za afya katika hospitali zetu. Natarajia Mwenyekiti afanye kazi nzuri ili tuje kujifunza kutoka kwake,” alisema Mhe. Mhagama.

Aliwataka pia wajumbe wa Bodi hiyo, inayoongozwa na Bi. Zalia Mbeo kama Mwenyekiti, kufanya kazi kwa uzalendo, weledi, na ufanisi ili kuongeza tija katika sekta ya afya.

Vilevile, Mhe. Mhagama alitembelea viwanda vya dawa vya Action Medeor, Katwaza Pharmaceutical Industry, na Kairuki Pharmaceutical Industry, ambapo alikiri juhudi kubwa zilizofanyika katika sekta hiyo. Alisisitiza umuhimu wa kuongeza tafiti za kisayansi ili kuzalisha dawa zaidi nchini, hatua itakayopunguza utegemezi wa dawa kutoka nje na kupunguza gharama kwa serikali.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Mhe. Nickson Simon, akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge, alipongeza jitihada za uwekezaji katika sekta ya afya zilizofanywa na serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Alibainisha kuwa kuanzia mwaka wa fedha 2021 hadi sasa, Mkoa wa Pwani umepokea zaidi ya shilingi bilioni 37 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya afya na bilioni 5 kwa ununuzi wa vifaa tiba.

Jitihada hizi zimewezesha ongezeko la vituo vya afya 156, na hivyo kufanya Mkoa wa Pwani kuwa na zaidi ya vituo 500 vya kutolea huduma za afya, hatua inayoboresha upatikanaji wa huduma kwa wananchi.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Madiwani wa Kibaha na Chalinze watakiwa Kuwa Mabalozi wa Usimamizi Bora wa Miradi ya Maendeleo

    January 15, 2026
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Afungua mafumzo ya mfumo wa O&D Ulioboreshwa

    January 15, 2026
  • RC Kunenge Atoa Muongozo wa Utekelezaji wa Shughuli za Serikali Mkoani Pwani

    January 09, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DANATOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77