• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Kamati ya bunge yaipongeza Pwani kasi Ukuaji Uchumi

Posted on: March 15th, 2024

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama imeupongeza mkoa wa Pwani kwa jitihada mbalimbali zinazofanywa mkoani humo kukuza uchumi wa Taifa.

Akitoa pongezi hizo kwenye kikao kifupi kwenye ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani leo Machi 14, 2024, Mwenyekiti wa Kamati hiyo ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Namtumbo Vita Rashid Kawawa amesema kuwa mkoa wa Pwani unaenda kuwa kitovu kikubwa cha uchumi kutokana na ongezeko la viwanda na uwekezaji kwa sekta mbalimbali katika kila eneo la mkoa huo.

Amesema hali hiyo inatokana na jitihada zinazofanywa na viongozi wa mkoa huo kuhakikisha kuwa kuna utulivu na amani hivyo kuwavutia wawekezaji ambao hitaji lao kubwa ni usalama.

"Sisi tunaridhika sana kwa sababu hatujapata malalamiko yoyote, labda yale ya kimazingira na yanayosababishwa na mabadiliko ya tabia nchi," amesema.

Ameeleza kuwa iwapo hali ya usalama itaendelea ilivyo, wawekezaji wengi watafika kuwekeza na kulipatia taifa manufaa mbalimbali ikiwa ni pamoja na serikali kupata kodi huku vijana wakipata ajira.

Awali, Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge ametoa taarifa kuwa hali ya kukua kwa kasi ya ongezeko la viwanda na uwekezaji unatokana na sera nzuri za nchi na jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan za kuwatafuta wawekezaji wa nje kuja kuwekeza nchini.

Akizungumzia upatikanaji wa huduma mbalimbali kama Umeme, maji na miundombinu ya barabara, Kunenge ameeleza kuwa mkoa alishatoa maelekezo kuwa mipango ya taasisi zote za serikali lazima iendane na mipango ya Mkoa na kwamba huduma yoyote inapopelekwa mahala, basi ihudumie wateja wengi zaidi.

Katika hatua nyingine, Kamati hiyo imeushauri uongozi wa Moa wa Pwani kufikiria kuboresha barabara za pembezoni (za mchepuko) ya barabara kuu ya Dar es Salaam - Chalinze ili ziweze kupunguza tatizo la msongamano na ajali kwa wakati huu ambao maandalizi ya ujenzi wa Barabara ya Kulipia ya njia nne kutoka Kibaha - Morogoro "Express Way" yakiendelea.

"Tunalipongeza Jeshi la Polisi kwa vile linafanya kazi kubwa kwenye barabara hiyo kuhakikisha usalama wa watjmiaji unakuwepo," amesema.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.