• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

RC Ndikilo atangaza neeme ya usafiri kwa wakazi wa kisiwa cha Mafia

Posted on: June 13th, 2019

Serikali imetoa shilingi bilioni tatu nukta nane kwa ajili ya ununuzi wa kivuko cha kisasa kwa ajili ya kusafirishia abiria kutoka bandari ya Nyamisati wilayani Kibiti kwenda Wilayani Maifa ili kuondoa tabu wanaoipata wananchi wa mafia kusafiri kwa kutumia boti ambazo zinahatarisha maisha yao.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo wakati wa ufunguzi wa kikao cha Baraza la Biashara la Mkoa huo kilichofanyika Mjini Kibaha.

Baraza la biashara Mkoa wa Pwani limefanyika hii leo mjini Kibaha kujadili changamoto mbalimbali zinazokabili sekta ya biashara katika maeneo mbalimbali za mkoa huo pamoja na kutafuta suluhisho la changamoto hizo hili kuwezesha sekta hiyo kukua na kuongeza mchango wake kwenye pato la taifa.

Mhandisi Ndikilo  ndiye anayefungua kikao hicho ambapo pamoja na mambo mengine ametangaza hali ya neema kwa wakazi wa visiwa vya Mafia kwamba serikali imetoa shilingi bilioni tatu nukta nane kwa ajili ya ununuzi wa kivuko kwa ajili ya kusafirishia abiria kutoka bandari ya Nyamisati iliyoko wilaya ya Kibiti kwenda wilayani Mafia.

Aidha  amesema kuwa  ununuzi wa kivuko hicho utarahisisha usafiri wa kuingia na kutoka katika visiwa vya Mafia jambo ambalo litafungua visiwa hivyo kibiashara na kuvutia wawekezaji wengi kwenda kuwekeza katika visiwa hivyo na hivyo kuwataka wakala wa ufundi nchini- TEMESA wanaosimamia ununuzi huo kuharakisha mchakato wa kumtafuta mzabuni wa kujenga gati katika Bandari ya Mafia na Nyamisati ili meli hiyo itakapokamilika iweze kuanza kazi mara moja.

Kwa upande wake mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Mafia Erick Mapunda ameliambia baraza hilo kwamba halmashaurio yake inaendelea na jituhada za kutafuta usafiri wa uhakika wa kusafirisha abiria kwenda visiwani humo ambapo hadi sasa halmashauri hiyo imefanya mazungumzo na chuo cha bahari nchini kutoa meli yake ili itumike kusafirishia abiria kwenda Mafia kuanzia Dar es Salaam


Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77