• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Zao la Korosho kuwa zao la biashara Kimkakati nchini-Ndikilo

Posted on: March 27th, 2018


“Napenda kutoa Rai kwa Wakulima  wote wa Korosho Mkoa Pwani, kuwa waende katika shamba darasa la Ruvu JKT kwa ajili ya kujifunza namna ya upandaji wa miche ya Korosho ya kisasa”.

Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani  Mhe. Mhandisi Evarist Ndikilo wakati wa uzinduzi wa upandaji wa Mikorosho mipya ,uliofanyika  katika shamba la Ruvu JKT mwanzoni mwa wiki hii.

Mhe. Ndikillo alisema kwamba Serikali ya awamu ya Tano imeamua kulifanya zao hili la Korosho kuwa ni mojawapo mazao ya bishara ya kimkakati hapa nchini kwani  ni moja ya zao ambalo linaongoza kwa kuliingizia Taifa fedha nyingi za kigeni.

Pia alisema kuwa Serikali kupitia Bodi ya Korosho Tanzania imetoa kilo 7,182 za mbegu bora za Korosho kwa Mkoa wa Pwani na kuzisambaza katika halmashauri zote , ambapo mbegu hizo zinakadiriwa kuzalisha miche bora 1,039,687 ya korosho ambayo imeanza kutolewa bure kwa wakulima .

Ndikilo aliwataka Viongozi wa Wilaya na Halmashauri kusimamia vizuri zoezi la ugawaji wa miche hiyo, na taarifa za wakulima waliokabidhiwa miche hiyo ya Korosho zihifadhiwe vizuri kwa ajili ya ufatiliaji.

Aidha amewataka maafisa Ugani wa Halmashauri watoke maofisini, na kwenda kwa Wakulima kwa ajili ya kutoa elimu na kanuni za kilimo bora cha Korosho.

Katika hatua nyingine Mhe Ndikilo alisema kuwa misimu mitatu iliyopita  kulikuwa na mfumo  ukusanyaji wa Korosho na kutunzwa na vyama vya msingi( AMCOS) katika maeneo ya Vijijini ambapo mfumo huu ulileta changamoto nyingi sana husuani  katika ubora na uzito kati ya mauzo kwenye minada na utoaji wa korosho kwa mnunuzi.

“Ningependa kutumia Fursa hii kuwakumbusha na kuwatahadharisha Viongozi wa (AMCOS) kubadilika na kama hawatakuwa tayari kubadilika na kusimamia mfumo uliowekwa kulingana na sheria ni afadhali wajivue wenyewe uongozi  na tutawachulia hatua kali za kisheria “alisema Ndikillo.

Aidha Mhe. Ndikillo ametoa wito kwa wawekezaji wa Viwanda kuwa waje wajenge Viwanda vya kubangua korosho na vya  kutengeneza magunia ya kuhifadhia korosho hapa nchini ili kuepukana na adha ya kuagiza magunia kutoka nje.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.