Posted on: January 28th, 2025
Mkoa wa Pwani umeanza maandalizi ya kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, ambayo kilele chake hufanyika Machi 8 kila mwaka. Kikao cha kwanza cha maandalizi kimefanyika leo katika ofisi za Mkuu wa Mkoa...
Posted on: January 17th, 2025
Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, ambaye pia ni Skauti Mkuu wa Tanzania, Rashid Mchatta, ameongoza kikao kilichofanyika katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani, kufuatia hitimisho la ziara ya siku tano ya...
Posted on: January 14th, 2025
Katibu Tawala Msaidizi wa Idara ya Mipango, Bibi Edina Kataraiya, amezindua kikao cha kuratibu mafunzo kupitia Mradi wa Mwanamke na Ujuzi kwa Mama Vijana. Mradi huu unasimamiwa na Taasisi ya ...