Posted on: October 28th, 2018
Wakazi wa kijiji cha Pande, wilayani Bagamoyo mkoani Pwani ambao wamehamishwa kupisha mradi wa bandari mpya ya Bagamoyo wameiomba serikali kuwasaidia kulipwa fidia na kuhamishiwa katika makazi mapya
...
Posted on: October 19th, 2018
Kiwango cha Maambukizi ya Ugonjwa wa UKIMWI Mkoani Pwani kimeshuka kutoka asilimia 7.1kwa mwaka 2003 hadi asilimia 5.5 Mwaka 2017.
Hayo yalisemwa mjini Kibaha na Mkuu wa Mkoa wa Pwani M...
Posted on: October 9th, 2018
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Evarist Ndikilo,amepokea msaada wa mifuko 300 ya saruji yenye thamani ya Sh milioni nne kutoka katika kampuni ya uzalishaji wa saruji ya Kisarawe Cement iliyopo katika Wilaya ya ...