Posted on: November 26th, 2022
Uongozi wa Mkoa wa Pwani, umeagiza wale wote wanaovuna mazao ya misitu bila kufuata sheria kuondoka mara moja kwenye hifadhi za Misitu na vyanzo vya maji mkoani humo.
Agizo hilo limetolewa leo Nove...
Posted on: November 23rd, 2022
MKoa wa Pwani umeandaa mpango wa kuwafikia wananchi nyumba kwa nyumba ikiwa ni utekelezaji wa mkakati wa kufikia lengo la asilimia 100 ya utoaji chanjo ya UVIKO-19 ifikapo Desemba 30 mwaka huu.
Len...
Posted on: November 17th, 2022
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Prof. Riziki shemdoe amezielekeza halmashauri zote nchini kuwekeza kwenye miradi yao ili iwasaidie kuongeza Mapato ya ndani kuwa endelevu...